Sijawahi kuona Mtoto mjinga hivi

Sijawahi kuona Mtoto mjinga hivi

Kaongea vizuri na ni utani mzuri wa kufanya tukio liwe zuri
Japo alimwambia asisome atamuoa lakini anaonesha kufika hadi chuo na nadhani alihitimu vizuri hii inaonesha yote yalikuwa utani
Anyway wamependeza na hope watakuwa na maisha mazuri huko mbeleni
Mda mfupi nimeshuhudia ugomvi wa jirani yangu na mke wake sio poa (jamaa ana wake wawili ambapo mdogo anadai hatendewi haki,anapunjwa)🖐️😂😂
 
Hapo juha ni huyo muoaji mwanaume mwenzetu. Anyaways,nillmeishia hapo kwenye "nina watoto wawili"
Kumbe hata hujasikiliza mpaka mwisho ila upo kubwatuka tu

Kaishi nae kwa miaka 12 toka wapo chuo na kazaa nae watoto 2, kwenye harakati za kutafuta elimu yao mumewe alimwambia asijiumize sana na kusoma sababu ipo siku atamuoa.......na kweli kamuoa

Mko na mastress yenu ya kuachwa lazima mchanganyikiwe, mnaona wanaume wote wataachwa km mlivyoachwa kwa aibu na majeraha, sio wanawake wote ni wajinga kama wa kwenu, wajinga wakubwa
 
Kumbe hata hujasikiliza mpaka mwisho ila upo kubwatuka tu

Kaishi nae kwa miaka 12 toka wapo chuo na kazaa nae watoto 2, kwenye harakati za kutafuta elimu yao mumewe alimwambia asijiumize sana na kusoma sababu ipo siku atamuoa.......na kweli kamuoa

Mko na mastress yenu ya kuachwa lazima mchanganyikiwe, wajinga wakubwa
Umetumia nguvu kubwa sana kwenye mambo madogo mno dada angu.
Pole na ahsante kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom