Sijawahi kuona Mtoto mjinga hivi

Sijawahi kuona Mtoto mjinga hivi

Kaongea vizuri na ni utani mzuri wa kufanya tukio liwe zuri
Japo alimwambia asisome atamuoa lakini anaonesha kufika hadi chuo na nadhani alihitimu vizuri hii inaonesha yote yalikuwa utani
Anyway wamependeza na hope watakuwa na maisha mazuri huko mbeleni
Mda mfupi nimeshuhudia ugomvi wa jirani yangu na mke wake sio poa (jamaa ana wake wawili ambapo mdogo anadai hatendewi haki,anapunjwa)🖐️😂😂
Noma sana
 
Mwanamke asipwe jukwaa la kuzungumza , ikibidi sana aishie kutoa salam tu.
 
Anaeleza ujinga wake mbele ya wazazi na watu wanaoheshimiana nao
Angalia kwenye video. Kama mzazi nimeumia sana
Mwanamke anathibitisha kuwa uchi wake umetumika miaka 12 ndio wakasajili hiyo ndoa serikalini but before was traditional marriage, watalaamu wa mambo tunasema hii sio harusi ya ndoa bali ni 12 years Annivessary ya wakurungwa.
 
Kasema ukweli wake, mlitaka adanganye?
Haha hapana sisi hatukutaka adanganye, ila ndio hivyo tena tushaliona lipumbavu na sio sisi tu hata wazazi wake hapo wanasikitika wanaona daaaa hili toto kimeo kweli.
 
Kapeace uko poa?!! Unapigia makofi ujinga aliouongea huyo Binti mbele za watu?!!!!! Hapo anafanya nn zaidi ya kurudisha jitihada za mtoto wa kike nyuma?!!!! Amewamotivate wengi tu hapo watulie tu huko mavyuoni wapanie mapaja wakisaka ahadi za kuolewa basi. Period.
Waacheni msiwasanue wabakie kuwa mananga. Kwanza wanatuharibia jamii.

Hiyo jitihada ya mtoto wa kike inatakiwa irudi nyuma hadi igote.
 
Kapeace uko poa?!! Unapigia makofi ujinga aliouongea huyo Binti mbele za watu?!!!!! Hapo anafanya nn zaidi ya kurudisha jitihada za mtoto wa kike nyuma?!!!! Amewamotivate wengi tu hapo watulie tu huko mavyuoni wapanie mapaja wakisaka ahadi za kuolewa basi. Period.
Kwa mara ya kwanza umeandika kitu cha maana.
Kongole na uendelee hivi.
 
Back
Top Bottom