Huko vyooni kuishi pamoja kwa vijana ni Jambo la kawaida siku hizi kwasababu ya ugumu wa maisha! Wakimaliza chuo sio lazima waoane ; huyu bahati yake Kaolewa.Kasema ukweli wake, mlitaka adanganye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko vyooni kuishi pamoja kwa vijana ni Jambo la kawaida siku hizi kwasababu ya ugumu wa maisha! Wakimaliza chuo sio lazima waoane ; huyu bahati yake Kaolewa.Kasema ukweli wake, mlitaka adanganye?
Mjinga mwenzio huyo.Sasa umeumia nini?. Mbona kawaida tu?. Ndio tukio la kukuhangaisha hili?
Pengine wazazi walipiga makofi sana na kushangilia kwa nguvu!!! Ujinga sana!Anaeleza ujinga wake mbele ya wazazi na watu wanaoheshimiana nao
Angalia kwenye video. Kama mzazi nimeumia sana
Huyo ni mtambo kabisa hamna kitu kichwani anategemea sehemu yake ya siri tu .Anaeleza ujinga wake mbele ya wazazi na watu wanaoheshimiana nao
Angalia kwenye video. Kama mzazi nimeumia sana
Duuh hasira za nini mwenye shida ni wewe vidole vyako vimeongea pole sana mrudie Mungu akusameheKumbe hata hujasikiliza mpaka mwisho ila upo kubwatuka tu
Kaishi nae kwa miaka 12 toka wapo chuo na kazaa nae watoto 2, kwenye harakati za kutafuta elimu yao mumewe alimwambia asijiumize sana na kusoma sababu ipo siku atamuoa.......na kweli kamuoa
Mko na mastress yenu ya kuachwa lazima mchanganyikiwe, mnaona wanaume wote wataachwa km mlivyoachwa kwa aibu na majeraha, sio wanawake wote ni wajinga kama wa kwenu, wajinga wakubwa
Kwamba nipo kwa shetani ndugu mpiga ramli?Duuh hasira za nini mwenye shida ni wewe vidole vyako vimeongea pole sana mrudie Mungu akusamehe
Wewe ni aina ya wanawake wanaodandia tu ili mradi umechomokea hata bila kujua madaMjinga mwenzio huyo.
Tone ya ujumbe wako imekaa na depressionKwamba nipo kwa shetani ndugu mpiga ramli?
Nonsense mind!Wewe ni aina ya wanawake wanaodandia tu ili mradi umechomokea hata bila kujua mada
Kuna kitu hujaelewa alimwambia ASISOME CHUO, kwahiyo huyu dada atakuwa na GPA ya 1.9, ASISOME ule msuli pepa ule ambao unapiga msuli mpaka unachanganyikiwa. Angalia video tenaa...Kaongea vizuri na ni utani mzuri wa kufanya tukio liwe zuri
Japo alimwambia asisome atamuoa lakini anaonesha kufika hadi chuo na nadhani alihitimu vizuri hii inaonesha yote yalikuwa utani
Anyway wamependeza na hope watakuwa na maisha mazuri huko mbeleni
Mda mfupi nimeshuhudia ugomvi wa jirani yangu na mke wake sio poa (jamaa ana wake wawili ambapo mdogo anadai hatendewi haki,anapunjwa)🖐️😂😂
Kama comment yako ilivyokaa kiuganga gangaTone ya ujumbe wako imekaa na depression
Tamu sana dawa ya moto ni majivuKama comment yako ilivyokaa kiuganga ganga
Sitoi kikiTamu sana dawa ya moto ni majivu
Ni maisha yao, as long as wamefikia umri wa maamuzi wataamua wenyewe.Huko vyooni kuishi pamoja kwa vijana ni Jambo la kawaida siku hizi kwasababu ya ugumu wa maisha! Wakimaliza chuo sio lazima waoane ; huyu bahati yake Kaolewa.