Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
- Thread starter
-
- #41
Noma sanaKaongea vizuri na ni utani mzuri wa kufanya tukio liwe zuri
Japo alimwambia asisome atamuoa lakini anaonesha kufika hadi chuo na nadhani alihitimu vizuri hii inaonesha yote yalikuwa utani
Anyway wamependeza na hope watakuwa na maisha mazuri huko mbeleni
Mda mfupi nimeshuhudia ugomvi wa jirani yangu na mke wake sio poa (jamaa ana wake wawili ambapo mdogo anadai hatendewi haki,anapunjwa)🖐️😂😂
Baba na mama yako wakiwa ni mwnyekiti na katibu wetuL
Kumbe wapumbavu mpo wengi hivi
Nonsense mind!Baba na mama yako wakiwa ni mwnyekiti na katibu wetu
Same as you ass holeNonsense mind!
😅Pambana na hali yako, nguvu uliyotumia kukandia kabla hujajuq kinachoendelea ungeitumia kuomboleza uyatima wako wa mapenzi
Mwanamke anathibitisha kuwa uchi wake umetumika miaka 12 ndio wakasajili hiyo ndoa serikalini but before was traditional marriage, watalaamu wa mambo tunasema hii sio harusi ya ndoa bali ni 12 years Annivessary ya wakurungwa.Anaeleza ujinga wake mbele ya wazazi na watu wanaoheshimiana nao
Angalia kwenye video. Kama mzazi nimeumia sana
Haha hapana sisi hatukutaka adanganye, ila ndio hivyo tena tushaliona lipumbavu na sio sisi tu hata wazazi wake hapo wanasikitika wanaona daaaa hili toto kimeo kweli.Kasema ukweli wake, mlitaka adanganye?
Kwenye hili huwa nawaelewa sana kobaziMwanamke asipwe jukwaa la kuzungumza , ikibidi sana aishie kutoa salam tu.
LAWAMA ZT KWA WAZAZIJuha hili demu
Waacheni msiwasanue wabakie kuwa mananga. Kwanza wanatuharibia jamii.Kapeace uko poa?!! Unapigia makofi ujinga aliouongea huyo Binti mbele za watu?!!!!! Hapo anafanya nn zaidi ya kurudisha jitihada za mtoto wa kike nyuma?!!!! Amewamotivate wengi tu hapo watulie tu huko mavyuoni wapanie mapaja wakisaka ahadi za kuolewa basi. Period.
Yaani huyo hafai hata kuliwa tunda kimasihara!Anaeleza ujinga wake mbele ya wazazi na watu wanaoheshimiana nao
Angalia kwenye video. Kama mzazi nimeumia sana
Kwa mara ya kwanza umeandika kitu cha maana.Kapeace uko poa?!! Unapigia makofi ujinga aliouongea huyo Binti mbele za watu?!!!!! Hapo anafanya nn zaidi ya kurudisha jitihada za mtoto wa kike nyuma?!!!! Amewamotivate wengi tu hapo watulie tu huko mavyuoni wapanie mapaja wakisaka ahadi za kuolewa basi. Period.
Objection Killedmantiki yako na huyo niliyemnukuu ni vitu viwili tofauti,
Kwa mara ya kwanza?!!!🤣🤣🤣Kwa mara ya kwanza umeandika kitu cha maana.
Kongole na uendelee hivi.
😳😳😳😳First year tu semister ya kwanza love at first sight mtoto tumeishi naye kanizalia binti mzur ila mapenzi hamna tena yupo mkoa uko
Wewe ni Mwanaume yeye ni Mwanamke hio ni Option ya upendeleo waliyonayo wanawake ukiacha mengine yooooote wanayojisifia ila Ndoa ni Opportunity kwa wanawake sio Wanaume.Angalia kwenye video. Kama mzazi nimeumia sana