Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari Moja huanzisha nyingine ..Hayo ma castle lite serengeti lite kinachowasaidia ni promosheni utakuta unaambiwa elfu 10 bia nane
Safari haitegemei promo wala kushusja bei ni big brand
Mwaka upi huoSafari Moja uanzisha nyingine ..
Walikuwa na ma promotion mengi Sana huko miaka ya nyumba sasa wanakula matunda tu ya zile promotion...
Siku hizi mbona imekuwa chungu Sana au Ni mdomo wangu?Nmeanza kunywa hii bia nikiwa na miaka 15/16 mpaka leo
Ova
Kwa taarifa yako, juice kama haijatengenezwa nyumbani (za kiwandani) hiyo ni sumu kali kuliko bia.Sijawahi kunywa kilevi chochote tangu nizaliwe.
Niache juice na maziwa nijaze takataka na sumu mwilini?
Mwamba umeshaumia! Hizo fursana SI ndio more dangerous?Sijawahi kunywa kilevi chochote tangu nizaliwe.
Niache juice na maziwa nijaze takataka na sumu mwilini?
Safari ya enzi hizo harufu na ladha nzuri fulani, siku hizi hamna kitu ni kemikali tu.Nmeanza kunywa hii bia nikiwa na miaka 15/16 mpaka leo
Ova
Tunaiita chuma chakavuHayo ma castle lite serengeti lite kinachowasaidia ni promosheni utakuta unaambiwa elfu 10 bia nane
Safari haitegemei promo wala kushusja bei ni big brand
Siyo ya kiwandani tu hata ya nyumbani ni sumu pia kama mtu atakuwa anagida glass kadhaa kisa ni natural na wengi huwa tunajidanganya hapa na matokeo yake uzito wa kupitiliza, kisukari etcKwa taarifa yako, juice kama haijatengenezwa nyumbani (za kiwandani) hiyo ni sumu kali kuliko bia.
Bia ya zamani sana hio ilikua na matangazo kibao ila wimbo wao wa safari ni safari ulikua mzuri sana.
Safari ni safari iwe kwa miguu ama kwa gari safari ni safari
iwe mchana au usiku, kiangazi au masika safari ni safari
Safari lager asili yake Tanzania