Kwan kununua train au ndege ndo kigezo cha kubonda watu risasi hovyo hovyo? Kwani alishindwa kutengeneza barabara hadi apoteze watu? Lissu ni national figure kupigwa kwake risasi haikuwa tu mshtuko wa kitaifa bali kimataifa kama hutaki KAFE, hata hitler alifanya makubwa ujerumani lakini hakumbukwi kwa mazuri ila kwa mabaya na bora iwe ubaya wa kutukana watu pekee lakini kitendo cha kumwaga damu za watu kimepelekea hadi leo kule Ujerumani marufuku jina la hitler kutumika popote.Mtizamo hasi. Hiyo ndege unayopanda ni maono ya nani? Hiyo Train unayojisifia nayo ni maono ya nani? Nani kaleta mfumo wa Control number kama wewe ni mlipa kodi? Well Tundu lisu hata kwenye chama chake hawamtaki, he can't even prove the state was involved. just dirty politics and sympathy seeker, Vijana wa Chadema na maono yetu. Well he has been around since he came back amekifanyia nini chama chenu? Total derailment they have nothing to offer mara wanaanza kulaumiana kuna hela chafu in the party, sasa hivi karukia agenda ya gari iliyopigwa risasi, je ni ajenda ya kitaifa? Let see kama atakuwa anatembea nalo kwenye kampeni as mtaji wa siasa. Well let see Uzanzibar na Utanganyika kama utawatoa.
Maendeleo aliyoyafanya magufuri hakuyafanya kwa hela zake bali kwa pesa za walipa kodi pia unaposema Lissu hakuweza kuthibitisha kuwa serkali haikuhusika na lile tukio umejidhihirisha wewe mwenyewe kuwa nawe ni KATILI zaidi ya aliyesimamia zoezi chafu la kutaka kuangamiza maisha ya Lissu bwana DAB una kila dalili kuwa UNA ROHO CHAFU NA MBAYA.