Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

Huna akili tafuta pesa mdgo wangu bila pesa utahis kila mtu amekukosea utahis hata baba yako na mama yako walikosea kukulea
Nakubaliana na wewe. Kwa mazingira mazuri aliyoyaweka mama biashara zinawezekana na watu tunapiga hela. Ila kipindi kile cha shetani magufuli ilibaki kidogo nijinyinge mana kila sehemu ilikuwa vilio wakabaki wale kula kulala ndo wanamsifia tu ili wote tufanane
 
Acha utoto wa kitoto! kwahiyo Lisu alipopigwa risasi ni msoga ilisema asiombewe, T shirt za picha yake zisivaliwe, Msoga ndiye alimnyima matibabu, alimfukuza ubunge, Msoga ndiye aliwazuia polisi wasichunguze kifo cha Ben Saanane, mawazo, na wengine wengi..... acha utoto wa kijinga


Weka ushahidi wa kueleweka acha kuchafua watu
 
Nakubaliana na wewe. Kwa mazingira mazuri aliyoyaweka mama biashara zinawezekana na watu tunapiga hela. Ila kipindi kile cha shetani magufuli ilibaki kidogo nijinyinge mana kila sehemu ilikuwa vilio wakabaki wale kula kulala ndo wanamsifia tu ili wote tufanane

Tena usikute alijitengenezea huo mzezo wote wa risasi yeye mwenyewe,, hata hizo idadi za risasi ukawa ni uongo mtupu kila kitu ni ubatili tu
 
Nakubaliana na wewe. Kwa mazingira mazuri aliyoyaweka mama biashara zinawezekana na watu tunapiga hela. Ila kipindi kile cha shetani magufuli ilibaki kidogo nijinyinge mana kila sehemu ilikuwa vilio wakabaki wale kula kulala ndo wanamsifia tu ili wote tufanane
Simple maind
 
Kila Kona ipi hiyo? Kwa taarifa Yako tuu wanaopigwa spana Huwa ni watu werevu sana na hufanikiwa mnoo na matokeo yake mtaona baadae akitoka Madarakani.

Cha muhimu ni Kwamba System ikikubari hakuna shida nyie wengine ni kelele Cha chura hazijawahi mzuia tembo kunywa maji.

Huyo ni Rais Hadi 2030 ana mission nyingi za muhimu kufanya Kwa Ajili ya Taifa hili.

Mwisho wewe ndio unashangaa ila Kina Pascal Mayalla waliandika Makalla mwanzoni kabisa mwa Utawala wa Samia kwamba kitakachomletea Changamoto Samia ni
-Uzanzibar wake na ndivyo inafanyika
-Uanamke wake na ndivyo inafanyika
-Dini yake na ndivyo inafanyika Kwa sehemu.

Mengine ni visingizio tuu ila Kwa kuwa Samia analijua hili mapema ndio maana unamuona hayumbishwi Wala hafanyi mambo Kwa mihemko Wala kufurahisha magenge ya wajinga na wafitini.

Kwangu Mimi Samia ndio Rais Bora kuwahi tokea Tanzania Kwa vigezo vyovyote hakuna wa kumfikia.
Soma tena uelewe. Nyie ndo wale mnaosoma vichwa vya habari halafu mnaconclude.
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Ni kweli yule bwana ilikuwa ni tatizo kubwa, malalamiko karibu yote kwenye ziara za Makonda na huko aliko ilikuwa ni Utawala wake ,just imagin.
 
Mtizamo hasi. Hiyo ndege unayopanda ni maono ya nani? Hiyo Train unayojisifia nayo ni maono ya nani? Nani kaleta mfumo wa Control number kama wewe ni mlipa kodi? Well Tundu lisu hata kwenye chama chake hawamtaki, he can't even prove the state was involved. just dirty politics and sympathy seeker, Vijana wa Chadema na maono yetu. Well he has been around since he came back amekifanyia nini chama chenu? Total derailment they have nothing to offer mara wanaanza kulaumiana kuna hela chafu in the party, sasa hivi karukia agenda ya gari iliyopigwa risasi, je ni ajenda ya kitaifa? Let see kama atakuwa anatembea nalo kwenye kampeni as mtaji wa siasa. Well let see Uzanzibar na Utanganyika kama utawatoa.
Pole kwa makasiriko
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Acha majungu
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Ndiyo maana muumba mbingu na dunia akaamua kumuondoa hivyo kuwa ni ukombozi Kwa walimwengu/watanzania.

Bado kuna viashiria kuwa bado wafuasi wake wanelaendelea kuisumbua nchi Kwa kutokukubali kuwa mjomba wao kashaitwa na muumba hivyo Tanzania ipo Kwa mtawala mwingine kutoka chaka lilelile
 
wako salama maana hawakuwahi kuua watu, kupiga risasi, kupoteza watu, kunyanganya pesa ambazo samia anazirudisha, kuteka. wamelala mahali pema maana walikufa wakiwa wamepakatwa na malaika. Siyo hili

View attachment 2994021
Jiwe litakuwa linapigwa na kuunguzwa na moto mkali wa jehanamu hadi lowe unga
 
Huna akili tafuta pesa mdgo wangu bila pesa utahis kila mtu amekukosea utahis hata baba yako na mama yako walikosea kukulea
We mpumbavu mimi siyo mdogo wako. Naweza kuwa baba yako sema tu mama yako alikulia sweken huko Nangurukuru

Niko humu JF toka inaanza, wewe kenge unejiunga 2020 halafu unaniita mdogo wako. Nyambaff
 
na hapatawahi kuja kutokea duniani,

Rais muungwana, mpole, makini, madhubuti, mahiri na mwana mapinduzi mwenye nia na dhamira njema ya dhati na

maono ya mbali sana kwa Tanzania yenye neema, kisiasa, kijamii na kiuchumi, kama Rais aliepo hivi sasa madarakani Tanzania, ambae,
ni comrade Dr.Samia Suluhu Hassan, mwangaza wa Tanzania :BASED:
Hii kali 😂
 
Back
Top Bottom