Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

View attachment 2994070
wewe si unaonekana kama msomi, soma kitabu hicho uone ambayo huyajui
Sasa kama hicho kitabu ambacho tulitegemea nyie wenyewe mkigombee na kukisoma kwa wingi ila imekuwa tofauti bado mmeishia kumtaja Lisu na Bensaa8 tu ndio unataka mie nikakisome? Muamasishane wenyewe kukisoma hicho kitabu ili tuone mkija na kuelezea ukatili mpya wa Magufuli tusioujua na sio kila siku Lissu tu halafu mnatuambia yule jamaa alikuwa katili sana.
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Dah machawa mnaamini mama atapendwa kwa kumkandia Magu. Hiyo njia imefeli tangu siku ya kwanza pita mtaani uone bi kizimkazi anavyosemwa. Kila mtu hamtaki nyinyi endeleeni kujifariji kwa kumzodoa asiyeweza kujitetea.

Na 2025 mkitoa zaidi ya fomu moja mazenu hapiti ndani ya chama na hata ikitoka moja Chadema wakajipanga vizuri muuza nchi kwa waarabu sijui hata 20 asilimia kama ataifikisha.
 
Dah machawa mnaamini mama atapendwa kwa kumkandia Magu. Hiyo njia imefeli tangu siku ya kwanza pita mtaani uone bi kizimkazi anavyosemwa. Kila mtu hamtaki nyinyi endeleeni kujifariji kwa kumzodoa asiyeweza kujitetea.

Na 2025 mkitoa zaidi ya fomu moja mazenu hapiti ndani ya chama na hata ikitoka moja Chadema wakajipanga vizuri muuza nchi kwa waarabu sijui hata 20 asilimia kama ataifikisha.
Labda kijijini ambao hawajui kufanya baishara za kimataifa. Wakipata buku kwa siku inawatosha. Wanaomkandia mama ni kula kulala
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Mkipata Rais mkali shida mkipata mpole Shida Watanzania mnataka nini Sasa?
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Uwe unasikiliza kuelewa,Chamburo kasema alinyang'anywa pesa 2022
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Hili lenu linazomewa kila Kona sasa hivi
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Pumba
 
Tuko Tanzania halisi tuliyoizoea. Nchi mojawapo kati ya nchi 10 Afrika zenye uchumi mkubwa
Nilidhani tumepiga hatua na kufanana na nchi moja wapo katika nchi zilipiga hatua kimaendeleo kumbe tumerudi kwenye Tanzania tuliyoizoea tu.
 
Haya
 

Attachments

  • IMG-20240519-WA0064.jpg
    IMG-20240519-WA0064.jpg
    111.1 KB · Views: 2
Kwa kweli huyu rais haijawahi kutoka.wewe fikiria tu uuze bandari zote umkabidhi mwarabu halafu ufukuzwe wananchi wako theni ukaribishe wazungu wawekeze mahoteli ulipowafukuza watu wako.hatujawahi kuona rais wa Hivyo yangu tz iumbe
 
Back
Top Bottom