Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Kwa kuwa tushazoea hata pale tunapofanya makosa wenyewe tunamsingizia shetani basi sishangai.Lile lilikuwa ni shetani hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa tushazoea hata pale tunapofanya makosa wenyewe tunamsingizia shetani basi sishangai.Lile lilikuwa ni shetani hatari sana
Sasa kama hicho kitabu ambacho tulitegemea nyie wenyewe mkigombee na kukisoma kwa wingi ila imekuwa tofauti bado mmeishia kumtaja Lisu na Bensaa8 tu ndio unataka mie nikakisome? Muamasishane wenyewe kukisoma hicho kitabu ili tuone mkija na kuelezea ukatili mpya wa Magufuli tusioujua na sio kila siku Lissu tu halafu mnatuambia yule jamaa alikuwa katili sana.View attachment 2994070
wewe si unaonekana kama msomi, soma kitabu hicho uone ambayo huyajui
Dah machawa mnaamini mama atapendwa kwa kumkandia Magu. Hiyo njia imefeli tangu siku ya kwanza pita mtaani uone bi kizimkazi anavyosemwa. Kila mtu hamtaki nyinyi endeleeni kujifariji kwa kumzodoa asiyeweza kujitetea.Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.
Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.
Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.
Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Labda kijijini ambao hawajui kufanya baishara za kimataifa. Wakipata buku kwa siku inawatosha. Wanaomkandia mama ni kula kulalaDah machawa mnaamini mama atapendwa kwa kumkandia Magu. Hiyo njia imefeli tangu siku ya kwanza pita mtaani uone bi kizimkazi anavyosemwa. Kila mtu hamtaki nyinyi endeleeni kujifariji kwa kumzodoa asiyeweza kujitetea.
Na 2025 mkitoa zaidi ya fomu moja mazenu hapiti ndani ya chama na hata ikitoka moja Chadema wakajipanga vizuri muuza nchi kwa waarabu sijui hata 20 asilimia kama ataifikisha.
Mkipata Rais mkali shida mkipata mpole Shida Watanzania mnataka nini Sasa?Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.
Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.
Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.
Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Aliyekwambia Dhambi kubwa ni moja tu nani? Ndio maana mnajiona watakatifu.Yes,ndiyo dhambi kubwa.
Sema nifeeChadema ni chama cha wala rushwa
Uwe unasikiliza kuelewa,Chamburo kasema alinyang'anywa pesa 2022Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.
Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.
Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.
Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Mnyanganyaji kila mtu anamuelewa. Samia hana hiyo sera ya kunyanganyaUwe unasikiliza kuelewa,Chamburo kasema alinyang'anywa pesa 2022
Rais mwenye hekima kama samiaMkipata Rais mkali shida mkipata mpole Shida Watanzania mnataka nini Sasa?
Hili lenu linazomewa kila Kona sasa hiviKila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.
Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.
Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.
Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Nani ameshawahi kimzomea. Plz lete videoJinga wewe. Hili lenu linazomewa kila Kona sasa hivi
PumbaKila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.
Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.
Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.
Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.
Professorial rubbishPumba
Tuko Tanzania halisi tuliyoizoea. Nchi mojawapo kati ya nchi 10 Afrika zenye uchumi mkubwaKwahiyo sasa hivi tupo kama nchi gani au hatuna wa kufanana naye hadi sasa?
Nilidhani tumepiga hatua na kufanana na nchi moja wapo katika nchi zilipiga hatua kimaendeleo kumbe tumerudi kwenye Tanzania tuliyoizoea tu.Tuko Tanzania halisi tuliyoizoea. Nchi mojawapo kati ya nchi 10 Afrika zenye uchumi mkubwa