Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

Kajipime kwanza , hakuna Raisi aliyekuwa mwema kama mwendazake na hatapata kutokea daima ktk nchi yetu , watu waliishi kwa kuheshimiana na kujaliana, leo hii yako wapi , sema wewe ni mwizi na mtu asiyependa haki na usawa , kuna sehemu ulishikwa , hivi kuna ndugu yako alipotea au kuuwawa kipindi chake ?

Usikae sehemu kuwajaza watu upumbavu uliokujaa kichwani mwako , kumpata mtu sahihi tena kama mwedazake ni ngumu sana , kazi aliiweza na hatakuja kutokea mwingine kama yeye labda hao kina MAKONDA ,na MAJALIWA huwenda mmoja aao akikamata madaraka siku zijazo , nchi ikawa sehemu nzuri na salama.

Siyo kama wanavyobumunda kwa sasa hali imekuwa mbaya sana sema hamjui tu ninyi wafia matumbo.
 
hayo wee unasema tu, huwajui na wala hutawajua, LAKINI yule shetani anajulikna kwa umma wa watanzania kuwa aliua watu, aliteka watu, alidhulumu watu, ALIVUNJA KATIBA,

Book ‘I AM THE STATE: A President’s Whisper From Chato’ Launched​


Written by Tanzanian journalists, the book details the contested legacy of former leader John Magufuli.


View: https://youtu.be/fWFr76f3jRQ

Wachawi wanapakatwa na malaika?🐼
 
hayo wee unasema tu, huwajui na wala hutawajua, LAKINI yule shetani anajulikna kwa umma wa watanzania kuwa aliua watu, aliteka watu, alidhulumu watu, ALIVUNJA KATIBA,

Book ‘I AM THE STATE: A President’s Whisper From Chato’ Launched​


Written by Tanzanian journalists, the book details the contested legacy of former leader John Magufuli.


View: https://youtu.be/fWFr76f3jRQ

IVE: UZINDUZI WA KITABU CHA "I AM THE STATE"​


Sisi tunamnunulia gari mpya Mwenyekiti mpya wa Chadema mh Tundu Lisu 😂😂
 
Alikuwa katili sana.
Hakuwa katili sana wala nini bali mlikuza tu, yani kiongozi awe katili sana halafu tukio lake kubwa la ukatili analohusishwa nalo liwe moja tu la Lissu kiasi kwamba et hadi mnataka gari la Lissu liwekwe makumbusho.

Mnamkuza tu.
 
Hakuwa katili sana wala nini bali mlikuza tu, yani kiongozi awe katili sana halafu tukio lake kubwa la ukatili analohusishwa nalo liwe moja tu la Lissu kiasi kwamba et hadi mnataka gari la Lissu liwekwe makumbusho.

Mnamkuza tu.
Unaandika kama mtoto,,,,,, uchawa, Uccm,,,,,Soma kitabu cha I am The State
 

Mtu anayeamini kila mwenye pesa nyingi ni mwizi, hafai kabisa kuaminiwa na kupewa uongozi.
 
Mtizamo hasi. Hiyo ndege unayopanda ni maono ya nani? Hiyo Train unayojisifia nayo ni maono ya nani? Nani kaleta mfumo wa Control number kama wewe ni mlipa kodi? Well Tundu lisu hata kwenye chama chake hawamtaki, he can't even prove the state was involved. just dirty politics and sympathy seeker, Vijana wa Chadema na maono yetu. Well he has been around since he came back amekifanyia nini chama chenu? Total derailment they have nothing to offer mara wanaanza kulaumiana kuna hela chafu in the party, sasa hivi karukia agenda ya gari iliyopigwa risasi, je ni ajenda ya kitaifa? Let see kama atakuwa anatembea nalo kwenye kampeni as mtaji wa siasa. Well let see Uzanzibar na Utanganyika kama utawatoa.

Umewasilisha kama shairi, lakini lililokosa content.

Maswali machache kwako:

1) Kuna Rais yeyote yule Duniani, hata yule ambaye alikuwa mbaya kabisa, ambaye hakukufanyika kitu chochote cha maendeleo wakati wa utawala wake?

2) Kuanzisha mradi wa ujenzi reli, baadhi ya madaraja; ufufuaji wa ATCL, udhibiti wa mfumuko wa bei, na nidhamu kwa watumishi, ina uhusiano gani na mauaji na uonevu wa watu waliokuwa wakimkosoa?

Hivi mimi nikiwa napenda sana kuwasaidia watu wenye shida, lakini wakati huo huo sipendi kuambiwamapungufu yangu yoyote yale, kiasi kwamba nikaamua kupambana na wanaonikosoa kwa kuwakodi watu wawaue watu wanaonikosoa. Uovu wangu wa kuwaua wanaonikosoa, utapotea kwa sababu huwa nawasaidia watu?

Marehemu kuna mazuri aliyafanya lakini pia alifanya uharamia wa hali ya juu dhidi ya wote waliomkosoa. Huo ni ukweli ambao utaendelea kubakia hivyo. Alikuwa na viashiria vyote vya udikteta, ndiyo maana hakuheshimu katiba wala sheria. Alitaka yeye awe katiba na yeye awe ndiyo sheria.

Tunampongeza kwa kuweza kuyasimamia yaliyokuwa mazuri, lakini pia hatutaacha kuusema uharamia wake. Yeye hayupo tena, lakini mikono yake ya utekelezaji wa uharamia bado ipo. Samia, naye kuamua kushimana na mikono ya uharamia, maana yake anapendezwa na kufurahishwa na uharamia wa wao. Naye kwa hilo, anakuwa sehemu ya uovu.
 
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi alikuwa ni adui na anawindwa ama kuuawa ama kufilisiwa ndo mana akina Lowasaa wakaona warudishe majeshi tu CCM kuogopa kufanywa lolote.

Juzi Tundu Lissu kaenda kumuona nurse aliyetimuliwa kisa kuokoa uhai wa Lissu wakati haikuwa lengu Lissu aishi.

Jana Makonda alikuwa na mkutano Arusha wafanyabiashara wakadai walinyanganywa pesa hivyo wanamshukuru mama kuwarudishia pesa zao.

Yaani sijui hii nchi ilipatwa na nini aise. Tuliufyata wote mana yule bwana kuua nchi nzima abaki peke yake halikuwa issue kwake.

It's agony not knowing where Ben Saanane is, say parents

thecitizen.co.tz
https://www.thecitizen.co.tz › Home › News › National

17 Apr 2021 — A Tanzanian bishop allegedly commits suicide over debts. The incident is purportedly to have occurred on Thursday, May 16, 2024, at around 1pm ..

.
1716126585617.png
 
Unaandika kama mtoto,,,,,, uchawa, Uccm,,,,,Soma kitabu cha I am The State
Wote wenye kumuona Magufuli katili sana ni kwamba wamesoma hicho kitabu? Kila siku hapa habari ni zile zile za Lissu na ndio tukio kubwa mnalotaka hadi gari la Lissu liwekwe makumbusho.

Nadhani wewe ndio unaandika kama mtoto hivi ccm na hao machawa ndio wanamsifia Magufuli na sio Sukuma gang tena?
 
Wote wenye kumuona Magufuli katili sana ni kwamba wamesoma hicho kitabu? Kila siku hapa habari ni zile zile za Lissu na ndio tukio kubwa mnalotaka hadi gari la Lissu liwekwe makumbusho.

Nadhani wewe ndio unaandika kama mtoto hivi ccm na hao machawa ndio wanamsifia Magufuli na sio Sukuma gang tena?
1716126815137.jpeg

wewe si unaonekana kama msomi, soma kitabu hicho uone ambayo huyajui
 
Hawakuwa na dhambi ya kuua kwa makusudi ti kwa vile mmetofautiana mawazo. Ben alifanya ubaya gani? Kuonesha kuwa PhD aliyopata Jiwe haikuwa halali? Si angelimuonesha kuwa ni halali na siyo kumuua
Wewe unaona dhambi ni kuuwa tu basi wengi tutaingia peponi kwa kutokuuwa.
 
Msikilize Mwenyekiti wako
Hapo hukuelewa nini sasa. Kwani hujui mawazir, makatibu wakuu, wabunge, wakurugenzi nk kama wana mishahara yao. Kamba maana yake mishahara yao inapoishia na hailingani
 
Back
Top Bottom