Sijawahi yaelewa kabisa madirisha ya aluminium, yamekaa kifakefake sana

Sijawahi yaelewa kabisa madirisha ya aluminium, yamekaa kifakefake sana

Mninga ni gharama kubwa, huko rufiji wanachomea mkaa, huku mjini ni dhahabu.
Ushamba uliopitiliza, tumeacha vigae ambavyo haviingizi joto tunaweka mabati ya msauzi, ndio utajua mabeberu walikuwa na akili.

Unatoa dirisha la mbao unaweka la vioo tupu linalofunguka nusu, unahisi unajua kumbe hujui.
Yaani tupo kama kondoo kufuata bila kufikiri. Bibi mmoja huko Iringa alikataa nyumba ya bati na kubaki nyumba ya nyasi kisa baridi kali kwenye nyumba ya bati. Lazima tuangalie na mazingira.
 
Mninga ni gharama kubwa, huko rufiji wanachomea mkaa, huku mjini ni dhahabu.
Ushamba uliopitiliza, tumeacha vigae ambavyo haviingizi joto tunaweka mabati ya msauzi, ndio utajua mabeberu walikuwa na akili.

Unatoa dirisha la mbao unaweka la vioo tupu linalofunguka nusu, unahisi unajua kumbe hujui.
Wewe unafikiri watu hawapendi vigae? Unajua bei ya vigae kulinganisha na bati? Unajua maandalizi ya kuweka vigae? Kwanini mnashindwa kuelewa simple facts?
1. Madirisha ya aluminium ni cheap kulinganisha na ya mbao. Pia Yana muonekano mzuri.
2.Bati ni cheap kulinganisha na vigae
 
Mbona yanapendeza sana tu
Screenshot_20210911-184908_Instagram.jpg
 
Kwa kweli hii trend mpya ya madirisha ya Aluminium binafsi sijaielewa kabisa. Naona kama hayako classy kulinganisha na ya mbao nzuri kama mninga.

Muonekano wake haunivutii kabisa, naona kama ni kitu fake kinachong'aa. Shida nyingine ni yanafunguka nusu. Dirisha la mbao unalifungua full kabisa.

Bila shaka wenzetu walianza kutumia madirisha ya namna hii kwa sababu ya uhaba wa mbao na bei kubwa ya mbao na si uzuri wake.

Unayaonaje madirisha haya? Na huku kwetu dirisha la mninga na la aluminium ya ukubwa sawa lipi ni bei kubwa?
Yapo madirisha ya aluminum yanayofunguka kama ya mbao ni uamuzi wako tu. Unajua aluminum ni cheap kuliko mbao
 
Hayo unayoita madirisha ya mbao yapoje?
Yanakuwa kama ya Aluminium, lakini ni mbao na kioo na yote yanafunguka kwa nje au kwa ndani. Madirisha mengine mazuri ni yale ya vioo vya luvers.
 
Aluminium uzuri wake inategemea na eneo, mfano msimu wa baridi Aluminium ni nzuri sana, kipindi cha joto kama nyumba yako ni fupi na Ceiling yako sio ya Gypsum utakoma na joto.
Kwangu naona ni best kuliko mengine kwa vile kipindi cha mvua ya upepo madirisha mengine hayafai.
Pia Aluminiam inaongeza mwanga ndani lakini pia ni Sound proof ukifunga hata kelele za nje unazisikia kwa mbali.
 
Yaani hizi picha mbili zitakuambia na kuunga mkono hoja ya mleta uzi...haya madirisha ya aluminium hakuna kitu...dirisha ni la mbao tu tatizo letu kuigana...aluminium upande ile high end designing ndo nzuri
images%20(23).jpg
images%20(24).jpg
 
Back
Top Bottom