Sijawahi yaelewa kabisa madirisha ya aluminium, yamekaa kifakefake sana

Sijawahi yaelewa kabisa madirisha ya aluminium, yamekaa kifakefake sana

Mimi siyapendi sababu sehemu ya kuingiza hewa inakuwa nusu dirisha..

Kwa joto la dar alluminium ili ikufae uwe na air conditions vyumbani na sebulen
Portable air condition zipo adi za 300k boss...
 
Wengi wanaenda na trend tu,una hoja ambayo hata mie nimekuwa nayo.

Unakuta dirisha limekatwa tena 1ft partition isiyofunguka huko juu hivyo linafunguka 40% pekee.

View attachment 2027336
miaka kadhaa ya mbele wanaongeza partitions 2 kwa chini ambazo hazifunguki, hapo unapata 20%

miaka kadhaa mbele tena, partitions zote hazifunguki,hapo unabaki na 0% , huku nyumba ikipendeza vizuri sana
 
Wekeni aluminium kwa sababu mkiweka mbao mtatuharibia miti,
Tukose mvua,
Mabwawa na mito isijae maji,
Tukose umeme,
Biashara zidorole,
Uwekezaji upungue,
Watu wakose ajira,
Uhalifu uongezeke,
Waje kuvunja nyumbani kwako na kung'oa hilo dirisha lako mbao.
WEKENI ALUMINIAMU
 
Hayo unayoita madirisha ya mbao yapoje?
Seriously vijana hamuyajui madirisha ya mbao?
Nyumba za zamani kabisa, madirisha (shutters na frame) yote yalikuwa mbao, baadae ikabadilika na kuwa frame za mbao kati vioo...
 
....
FB_IMG_16391067008564441.jpg
 
Yameingia madirisha design mbadala mtaani. Ni ya chuma na kioo yanafunguka Kwa bawaba Kwa nje. Kwahio dirisha zima linaweza kufunguka. Ni kama Yale madirisha ya zamani utayaona kwenye shule za mkoloni. Huitaji grill ukiwa na haya na bei ni nafuu.
Mapungufu: Mwizi akipachua kioo(kinabandikwa kwa gundi) anaongiza mkono anafungua na kuingilia hapo dirishani kwasababu hayawekwi grill.
 
Yameingia madirisha design mbadala mtaani. Ni ya chuma na kioo yanafunguka Kwa bawaba Kwa nje. Kwahio dirisha zima linaweza kufunguka. Ni kama Yale madirisha ya zamani utayaona kwenye shule za mkoloni. Huitaji grill ukiwa na haya na bei ni nafuu.
Mapungufu: Mwizi akipachua kioo(kinabandikwa kwa gundi) anaongiza mkono anafungua na kuingilia hapo dirishani kwasababu hayawekwi grill.
Unaweka double, unaweka na grill kwa ndani
 
Tumia multipurpose foam zile za wachina zilizokwenye chupa kama ya dawa ya mbu

Kariakoo ziko kibao
 
Kuna aluminium na PVC..hii PVC ndio inapendeza sana..tena uweke double glass zenye urembo...duh..
Tutafute pesa tuache visingizio
 
Kwa kweli hii trend mpya ya madirisha ya Aluminium binafsi sijaielewa kabisa. Naona kama hayako classy kulinganisha na ya mbao nzuri kama mninga.

Muonekano wake haunivutii kabisa, naona kama ni kitu fake kinachong'aa. Shida nyingine ni yanafunguka nusu. Dirisha la mbao unalifungua full kabisa.

Bila shaka wenzetu walianza kutumia madirisha ya namna hii kwa sababu ya uhaba wa mbao na bei kubwa ya mbao na si uzuri wake.

Unayaonaje madirisha haya? Na huku kwetu dirisha la mninga na la aluminium ya ukubwa sawa lipi ni bei kubwa?

Dunia inaelekea kwenye ulimwengu wa kijani, matumizi ya mbao ni uchochezi wa ukataji miti na kuharibu joto la dunia...

Miaka mingi sana huko nyuma vitu vingi vilikuwa vinaundwa kwa mbao, merikebu, magari n.k, wenzetu walishatoka huko kutokana na kulinda misitu na wala sio gharama au unafuu...
 
Dunia inaelekea kwenye ulimwengu wa kijani, matumizi ya mbao ni uchochezi wa ukataji miti na kuharibu joto la dunia...

Miaka mingi sana huko nyuma vitu vingi vilikuwa vinaundwa kwa mbao, merikebu, magari n.k, wenzetu walishatoka huko kutokana na kulinda misitu na wala sio gharama au unafuu...
Marekani wanakojenga nyumba za mbao tupu utasema wanalinda mazingira? Na usiangalie karibu, si ajabu processing ya aluminium inachafua hewa kama tu processinga ya mbao, au hata zaidi.
 
Back
Top Bottom