Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #21
Yaani tupo kama kondoo kufuata bila kufikiri. Bibi mmoja huko Iringa alikataa nyumba ya bati na kubaki nyumba ya nyasi kisa baridi kali kwenye nyumba ya bati. Lazima tuangalie na mazingira.Mninga ni gharama kubwa, huko rufiji wanachomea mkaa, huku mjini ni dhahabu.
Ushamba uliopitiliza, tumeacha vigae ambavyo haviingizi joto tunaweka mabati ya msauzi, ndio utajua mabeberu walikuwa na akili.
Unatoa dirisha la mbao unaweka la vioo tupu linalofunguka nusu, unahisi unajua kumbe hujui.
[emoji106]Mkuu wewe weka hayo ya mbao. Haya fake waachie wengine.
Wewe unafikiri watu hawapendi vigae? Unajua bei ya vigae kulinganisha na bati? Unajua maandalizi ya kuweka vigae? Kwanini mnashindwa kuelewa simple facts?Mninga ni gharama kubwa, huko rufiji wanachomea mkaa, huku mjini ni dhahabu.
Ushamba uliopitiliza, tumeacha vigae ambavyo haviingizi joto tunaweka mabati ya msauzi, ndio utajua mabeberu walikuwa na akili.
Unatoa dirisha la mbao unaweka la vioo tupu linalofunguka nusu, unahisi unajua kumbe hujui.
Yapo madirisha ya aluminum yanayofunguka kama ya mbao ni uamuzi wako tu. Unajua aluminum ni cheap kuliko mbaoKwa kweli hii trend mpya ya madirisha ya Aluminium binafsi sijaielewa kabisa. Naona kama hayako classy kulinganisha na ya mbao nzuri kama mninga.
Muonekano wake haunivutii kabisa, naona kama ni kitu fake kinachong'aa. Shida nyingine ni yanafunguka nusu. Dirisha la mbao unalifungua full kabisa.
Bila shaka wenzetu walianza kutumia madirisha ya namna hii kwa sababu ya uhaba wa mbao na bei kubwa ya mbao na si uzuri wake.
Unayaonaje madirisha haya? Na huku kwetu dirisha la mninga na la aluminium ya ukubwa sawa lipi ni bei kubwa?
Yanakuwa kama ya Aluminium, lakini ni mbao na kioo na yote yanafunguka kwa nje au kwa ndani. Madirisha mengine mazuri ni yale ya vioo vya luvers.Hayo unayoita madirisha ya mbao yapoje?
madirisha cheap sana tatizo mafundi wanatupiga.nunua material mwenyewe fundi mlipe labour chargeYanakuwa kama ya Aluminium, lakini ni mbao na kioo na yote yanafunguka kwa nje au kwa ndani. Madirisha mengine mazuri ni yale ya vioo vya luvers.
Hii ni ya Aluminium au PVC?Mbona yanapendeza sana tuView attachment 2010490
Hii ya kufuatws mkumbo ndiyo shida.Weka dirisha la mbao wanaokuzunguka waweke vioo uone nyumba yako itakavyokua kama kabati
Ukiona hutaki kwenda na wakat ujue wakat umeshakuachaHii ya kufuatws mkumbo ndiyo shida.
π π π πWeka dirisha la mbao wanaokuzunguka waweke vioo uone nyumba yako itakavyokua kama kabati
Kunaambo mengi yanaonekana ni kwends na wakati lakini ni ya hovyo sana. Kama kuhalalisha ushoga.Ukiona hutaki kwenda na wakat ujue wakat umeshakuacha