Sijawahi yaelewa kabisa madirisha ya aluminium, yamekaa kifakefake sana

Wengi wanaenda na trend tu,una hoja ambayo hata mie nimekuwa nayo.

Unakuta dirisha limekatwa tena 1ft partition isiyofunguka huko juu hivyo linafunguka 40% pekee.

 
Mimi siyapendi sababu sehemu ya kuingiza hewa inakuwa nusu dirisha..

Kwa joto la dar alluminium ili ikufae uwe na air conditions vyumbani na sebulen

unaweza kudzain likafunguka lote mbona yako dzain tofaut
 
unayaelewa madirisha gani aisee, weka na picha.
 
Wakuu...

Kama kuna mtu anajua wanapotengeneza vigae anijulishe... Vile vya udongo kabisa...
Nahitaji kufahamu gharama zake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi siyapendi sababu sehemu ya kuingiza hewa inakuwa nusu dirisha..

Kwa joto la dar alluminium ili ikufae uwe na air conditions vyumbani na sebulen
Zipo dizains nyingi, hata hyo ya kufunga na kufungua dirisha zima kama la mbao tu, so ni wewe kumuelekeza fundi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…