Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Kumbe umewaelewa Wewe!Wakuu Mimi nilikua ni mpenzi sana wa dini ya kisabato ,niliipenda dini hii kuanzia itikadi za Muonekano(nywele,mavazi),pili nyimbo zao zinavutia sana,ilifika kipindi kidoogo niwe msabato rasmi.
Lakini tangu nianzie kufuatilia mahubiri Yao muda wote wanahubili Mambo ya siku ya sabato ni ipi,Mnyama na joka kupitia Rumi ya kipagani,mala chapa ya paji ya nyuso zao
Muda wote ni kuiponda Roma,hua najiuliza inamaana bibilia nzima imejaa vifungu hivyo tuuu
ALAMA YA MNYAMA,
Kitimoto Itakuwa au swine!Nina ndugu zangu wasabato, kila nilipowatembelea enzi hizo nikiwa dogo nilikuwa nikiambatana nao kwenda sabato (ukimtembelea msabato ikifika ijumaa jioni atakuacha, ila jumamosi atakukomalia sana mtaenda wote kanisani kwao, hivyo nilienda mara nyingi).
Kilichonikera ni hicho, yaani mara zote, mahala tofauti, wao wanahubiri spana dhidi ya Roman Catholic na kuizungumzia siku ya sabato tu, hawaendi nje ya hapo. Hata upendo sikuwahi kusikia wakiuzungumzia kabisa.
Sikuwahi kusikia wamezungumzia uislam na ijumaa wala walokole, wao ni wao na RC tu! Huwa najiuliza sana hawa watu wana ugomvi gani na RC?!
Pambana Mkuu hao bikira 72 tumewaachia..Ukifa hali yakua sio Muislam (kafiri) ujue kabisa utakua kuni huko motoni mujitathmini wakati nisasa
Twakumbushana tu kwakua sisi ni umma bora
Sasa tukija wote huko mabikra watatosha kweli mkuu?Ukifa hali yakua sio Muislam (kafiri) ujue kabisa utakua kuni huko motoni mujitathmini wakati nisasa
Twakumbushana tu kwakua sisi ni umma bora
Mbaya zaidi huwa wana kaubaguzi na kadharau fulani hivi kwa kujiona kama vile mbinguni ni nyumbani kwao na RC wote ni wa motoni!Kuna mmoja nilimuona startv naye nikasema nisimsikilize nikaona anasema mambo ya sikuya saba ilikuwa ni jumamos kwahyo inatakiwa kusal jumamos toka siku hyoo sijawah angalia tena .nimwendo wa siku ya saba tuuu I think wanakuwa too physical than spiritual growth
Umewanukuu vibaya Hawa jamaa,mbona wako vizuri tuu Mkuu Tena ukifika mgeni wa dhehebu lingine kwao,utasikia aliye karibu na mgeni,mpe mkono' wa karibu!Jisikie mgeni kula popote Leo ni Sabato.Maana wanabeba menu.Mbaya zaidi huwa wana kaubaguzi na kadharau fulani hivi kwa kujiona kama vile mbinguni ni nyumbani kwao na RC wote ni wa motoni!
Ni Wakristo mkuu,kindakindakiWasabato siyo Wakristo jamani. ...
Huna tofauti na msabato anaeongelewa hapaUkifa hali yakua sio Muislam (kafiri) ujue kabisa utakua kuni huko motoni mujitathmini wakati nisasa
Twakumbushana tu kwakua sisi ni umma bora
π π πWatakuwa wamekugusa hasa kwenye Kunena KWA lugha,,, shokoro mogoro dooooo,shokoro magoroooo,
Walewale tuUkifa hali yakua sio Muislam (kafiri) ujue kabisa utakua kuni huko motoni mujitathmini wakati nisasa
Twakumbushana tu kwakua sisi ni umma bora
Kwan wasabato nao hunena Kwa lugha?Watakuwa wamekugusa hasa kwenye Kunena KWA lugha,,, shokoro mogoro dooooo,shokoro magoroooo,
Sio lazima kuwasikiliza wao tu jaribu kutafuta kanisa lingine ndugu uchaguzi ni wako hakuna anae kulazimisha na wala hakuna sababu ya kuleta lawama JF nenda kasikilize ya mwamposa usikilize izo ushuhuda adi utoe mlioWakuu Mimi nilikua ni mpenzi sana wa dini ya kisabato ,niliipenda dini hii kuanzia itikadi za Muonekano(nywele,mavazi),pili nyimbo zao zinavutia sana,ilifika kipindi kidoogo niwe msabato rasmi.
Lakini tangu nianzie kufuatilia mahubiri Yao muda wote wanahubili Mambo ya siku ya sabato ni ipi,Mnyama na joka kupitia Rumi ya kipagani,mala chapa ya paji ya nyuso zao
Muda wote ni kuiponda Roma,hua najiuliza inamaana bibilia nzima imejaa vifungu hivyo tuuu
ALAMA YA MNYAMA,