Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vichaa wapo Milembe na wengine mpo njiani kupelekwa Milembe..Ni kama anafanya kusudi... Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu.... Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa...
Hivyo siyo vituko kiongozi.. Walipokea mahali ili akafue nguo?? Au akapike?? Wakati wanapokea mahali walijua dada yake anakwenda kunyanduliwa hadi ajae mimba na kuzaa..!!! Sasa mtu anapoinyandua mbususu yake haijalishi wewe ni nani kwa mwenye hiyo mbususu...Kwa ufupi ni kwamba utakiwi hapo .....unawagasi uondoke haraka ......maaana kaamua kufanya vituko Tu ili uondoke rakini wewe ndio usikii .....mwaka mzima anakufuga maisha magumu sepaaaaa
Aibu naona mimiNi kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa...
Ndo tumefika tayariJamii great thinkers.....wapi tunaelekea...
Rakini [emoji777]Kwa ufupi ni kwamba utakiwi hapo .....unawagasi uondoke haraka ......maaana kaamua kufanya vituko Tu ili uondoke rakini wewe ndio usikii .....mwaka mzima anakufuga maisha magumu sepaaaaa
Acha dada apewe mjegeje mkuu.Mukuu natafuta kazi mjini hapa. Si jambo baya kukaa kwa ndugu.
haya maneno makali sana ndugu yangu..............Kwa kifupi we na dada yako wote mmeolewa Kama unabisha subiri ampe talaka uone Kama dada yako ataondoka peke yake ni lazima aondoke na wewe.
ndo maana nakwambia silali usiku kucha.... naumia sanaUkisikia miguno huwa unadinda!? 😎😎😎
duuuh................... ndugu yangu mbona umechoka kabisa.Ukimaliza badilisha na jina huna uchuma wowote
mukuu huwezi rudi samvula chole wakati wa samvula chole wanakuja mjini. hapo tunapishana. mi natafuta kazi huku huku town kwanza .Kama ni Mimi siyo usiku nakuja na mchana nikifika nikukamua tu na uck mtindo mmoja
Dada Yako kaolewa Ili apigwe miti na jamaa kamuoa Ili ambambie. Wewe na kihelele chako Cha kumaliza 4m4 ukaenda Kwa dada Yako badala ya kwenda Kwenu au Kwa kaka Yako
Achiiii