Sijaweza lala usiku kucha, shemeji anachomfanya dada sipendezwi nacho kabisa

Sijaweza lala usiku kucha, shemeji anachomfanya dada sipendezwi nacho kabisa

Mkuu tukiachana na mada husika kidogo, kama sasa hivi umemaliza form four, una maana kuwa ulijiunga na JF ukiwa darasa la nne?
Mama anaupiga mwingi sana!
Screenshot_20220509-152937.jpg
 
Tafuta geto la kushare uhame wamekuchoka hapo
 
Inasikitisha wewe kusoma na ku comment. Ungekuwa na akili hata usingesoma ungeachana nayo.
Inasikitisha sana nyuzi za hovyo kama hizi kushamiri hapa Jf na watu wakipiga makofi...
 
Ni kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa.

Najiuliza hili jambo anashindwa kugundua kuwa sauti zinatoka hadi chumba nacho lala kweli? Maana nyumba yenyewe haina ceiling board, yaani nasikia kila kitu kabisa. Hadi wanapogeuka.

Sister akiamka asubuhi amechoka sana anasinzia mchana wote. Nadhani hili si jambo zuri kwa kweli. Shem anatumia mavitu ya ajabu ajabu nataka nimwambie sister lakini nashindwa.

Nlimsikia anaongea na simu akimwambia mwenzie kuwa amletee vichupa 10 vya Mkongo. Sijui kama haya mambo yana ruhusiwa katika mahusiano. Si jambo jema.

Toka nimekuja hapa home kwao shem naona amechange. Uchangamfu haupo tena. Anakuwa serious muda mwingi sijui amepatwa na nini. Mimi nipo hapa kwa muda mfupi tu. Toka nimemaliza fomu four mwaka jana.

Natafuta kazi wajameni. Hivyo mara nyingi naangalia kwenye TV matangazo. Siku nyingine unakuta Rimoti haipo. Kumbe kasahau kaenda nayo kazini. Kwa kweli shem amevurugwa sana.
Hama.We mtu mzima unapata tabu mambo ya aibu.
 
hata kama munanipa ushauri lakini si kunikashifu. huo sio ustaarabu. sisi watanzania,waafrika ni ndugu kama shemeji hataki nikae kwake angesema tu kwani anaogopa nini.... mimi nimeshangaa tu kuwa kwa ninii afanye hivyo kila siku wengine tunashindwa kulala kwa amani.

Unaomba ushauri mambo ambayo hayakuhusu, dada yako ameolewa kumpa mumewe papuchi ni jukumu lake haijalishi kachoka au hajachoka hiyo ni ndoa yao wewe kama wanakukera hama au rudi kijijinii mkuu
 
Leo usiku dada analiwa na mtu anaeaikiliza analiwa kwa kumsaidia dada.
Acha upelekewe moto we na dada yako
 
Mkuu achana na hawa wapumbavu kukaa kwa shemeji sio zambi ila unatakiwa uangalie na shemeji je anawatoto ama hana, je anakipato kizuri.

Shemeji huyo usiende kwake watu wa pwani tunasema bado ni Bwana Harusi anafurahi ndoa bado. So unaweza kuchuja hapo ila km bado unakaa mkuu njoo tushare geto hapa Ukonga karibu sana.
 
Na wewe mle tu Dada yako kama makelele ya Dada yako yamekutamanisha, maana yake umemtamani na haikatai.. Mlee
 
Ni kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa.

Najiuliza hili jambo anashindwa kugundua kuwa sauti zinatoka hadi chumba nacho lala kweli? Maana nyumba yenyewe haina ceiling board, yaani nasikia kila kitu kabisa. Hadi wanapogeuka.

Sister akiamka asubuhi amechoka sana anasinzia mchana wote. Nadhani hili si jambo zuri kwa kweli. Shem anatumia mavitu ya ajabu ajabu nataka nimwambie sister lakini nashindwa.

Nlimsikia anaongea na simu akimwambia mwenzie kuwa amletee vichupa 10 vya Mkongo. Sijui kama haya mambo yana ruhusiwa katika mahusiano. Si jambo jema.

Toka nimekuja hapa home kwao shem naona amechange. Uchangamfu haupo tena. Anakuwa serious muda mwingi sijui amepatwa na nini. Mimi nipo hapa kwa muda mfupi tu. Toka nimemaliza fomu four mwaka jana.

Natafuta kazi wajameni. Hivyo mara nyingi naangalia kwenye TV matangazo. Siku nyingine unakuta Rimoti haipo. Kumbe kasahau kaenda nayo kazini. Kwa kweli shem amevurugwa sana.

Pole Sana, tafuta vibarua kapange huko mtaani, hiyo ni fedheha sana
 
Aki nmecheka saaana yewoomi! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwanza pole bwana kaka, lkn ww unaanzaje kwenda kuish alipoolewa dada yako jaman. Ujisikii aibu 🤔

Na huyo shemeji anafanya makusid ili ujiongeze uondoke, lkn bwana kaka hutaki kuelewa. Huoni unafanya dada ateseke, muonee dada ako huruma.

Yan unaondka had na rimont ww upo tu umeng'ang'anaa looh! Nchokii 😳.

Fanya uondoke, maana shemej anashndwa kukuambia lkn kashakuchoka anataka uondke.

N vle hii stor s ya kweli, lkn iwe fndsho jaman kwa wengne alipoolewa dada yako s sehemu ya ww kwenda kuishi uwe wa kike au wakiume s tabia njema.
 
Ni kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa.

Najiuliza hili jambo anashindwa kugundua kuwa sauti zinatoka hadi chumba nacho lala kweli? Maana nyumba yenyewe haina ceiling board, yaani nasikia kila kitu kabisa. Hadi wanapogeuka.

Sister akiamka asubuhi amechoka sana anasinzia mchana wote. Nadhani hili si jambo zuri kwa kweli. Shem anatumia mavitu ya ajabu ajabu nataka nimwambie sister lakini nashindwa.

Nlimsikia anaongea na simu akimwambia mwenzie kuwa amletee vichupa 10 vya Mkongo. Sijui kama haya mambo yana ruhusiwa katika mahusiano. Si jambo jema.

Toka nimekuja hapa home kwao shem naona amechange. Uchangamfu haupo tena. Anakuwa serious muda mwingi sijui amepatwa na nini. Mimi nipo hapa kwa muda mfupi tu. Toka nimemaliza fomu four mwaka jana.

Natafuta kazi wajameni. Hivyo mara nyingi naangalia kwenye TV matangazo. Siku nyingine unakuta Rimoti haipo. Kumbe kasahau kaenda nayo kazini. Kwa kweli shem amevurugwa sana.
[emoji3][emoji3][emoji3] dah hii nchi uhuru umezidi. Kwahiyo upo kwa shemeji au siyo
 
Ni kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa.

Najiuliza hili jambo anashindwa kugundua kuwa sauti zinatoka hadi chumba nacho lala kweli? Maana nyumba yenyewe haina ceiling board, yaani nasikia kila kitu kabisa. Hadi wanapogeuka.

Sister akiamka asubuhi amechoka sana anasinzia mchana wote. Nadhani hili si jambo zuri kwa kweli. Shem anatumia mavitu ya ajabu ajabu nataka nimwambie sister lakini nashindwa.

Nlimsikia anaongea na simu akimwambia mwenzie kuwa amletee vichupa 10 vya Mkongo. Sijui kama haya mambo yana ruhusiwa katika mahusiano. Si jambo jema.

Toka nimekuja hapa home kwao shem naona amechange. Uchangamfu haupo tena. Anakuwa serious muda mwingi sijui amepatwa na nini. Mimi nipo hapa kwa muda mfupi tu. Toka nimemaliza fomu four mwaka jana.

Natafuta kazi wajameni. Hivyo mara nyingi naangalia kwenye TV matangazo. Siku nyingine unakuta Rimoti haipo. Kumbe kasahau kaenda nayo kazini. Kwa kweli shem amevurugwa sana.
Bwana mdogo hama hapo nenda kachakarike sehemu nyingine.Ukiendelea kukaa hapo yatakayokupata ni makubwa kuliko hayo.
 
Back
Top Bottom