Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana nyuzi za hovyo kama hizi kushamiri hapa Jf na watu wakipiga makofi...
Hama.We mtu mzima unapata tabu mambo ya aibu.Ni kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa.
Najiuliza hili jambo anashindwa kugundua kuwa sauti zinatoka hadi chumba nacho lala kweli? Maana nyumba yenyewe haina ceiling board, yaani nasikia kila kitu kabisa. Hadi wanapogeuka.
Sister akiamka asubuhi amechoka sana anasinzia mchana wote. Nadhani hili si jambo zuri kwa kweli. Shem anatumia mavitu ya ajabu ajabu nataka nimwambie sister lakini nashindwa.
Nlimsikia anaongea na simu akimwambia mwenzie kuwa amletee vichupa 10 vya Mkongo. Sijui kama haya mambo yana ruhusiwa katika mahusiano. Si jambo jema.
Toka nimekuja hapa home kwao shem naona amechange. Uchangamfu haupo tena. Anakuwa serious muda mwingi sijui amepatwa na nini. Mimi nipo hapa kwa muda mfupi tu. Toka nimemaliza fomu four mwaka jana.
Natafuta kazi wajameni. Hivyo mara nyingi naangalia kwenye TV matangazo. Siku nyingine unakuta Rimoti haipo. Kumbe kasahau kaenda nayo kazini. Kwa kweli shem amevurugwa sana.
hata kama munanipa ushauri lakini si kunikashifu. huo sio ustaarabu. sisi watanzania,waafrika ni ndugu kama shemeji hataki nikae kwake angesema tu kwani anaogopa nini.... mimi nimeshangaa tu kuwa kwa ninii afanye hivyo kila siku wengine tunashindwa kulala kwa amani.
Mkuu tukiachana na mada husika kidogo, kama sasa hivi umemaliza form four, una maana kuwa ulijiunga na JF ukiwa darasa la nne?
Mama anaupiga mwingi sana!View attachment 2217996
Ni kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa.
Najiuliza hili jambo anashindwa kugundua kuwa sauti zinatoka hadi chumba nacho lala kweli? Maana nyumba yenyewe haina ceiling board, yaani nasikia kila kitu kabisa. Hadi wanapogeuka.
Sister akiamka asubuhi amechoka sana anasinzia mchana wote. Nadhani hili si jambo zuri kwa kweli. Shem anatumia mavitu ya ajabu ajabu nataka nimwambie sister lakini nashindwa.
Nlimsikia anaongea na simu akimwambia mwenzie kuwa amletee vichupa 10 vya Mkongo. Sijui kama haya mambo yana ruhusiwa katika mahusiano. Si jambo jema.
Toka nimekuja hapa home kwao shem naona amechange. Uchangamfu haupo tena. Anakuwa serious muda mwingi sijui amepatwa na nini. Mimi nipo hapa kwa muda mfupi tu. Toka nimemaliza fomu four mwaka jana.
Natafuta kazi wajameni. Hivyo mara nyingi naangalia kwenye TV matangazo. Siku nyingine unakuta Rimoti haipo. Kumbe kasahau kaenda nayo kazini. Kwa kweli shem amevurugwa sana.
Haafu watu ka nyie ndio Linda box hamna sema unajikaza kupambana na mwamba hapa ......angalia siipendi harufu ya kinyesiYes dada..
[emoji3][emoji3][emoji3] dah hii nchi uhuru umezidi. Kwahiyo upo kwa shemeji au siyoNi kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa.
Najiuliza hili jambo anashindwa kugundua kuwa sauti zinatoka hadi chumba nacho lala kweli? Maana nyumba yenyewe haina ceiling board, yaani nasikia kila kitu kabisa. Hadi wanapogeuka.
Sister akiamka asubuhi amechoka sana anasinzia mchana wote. Nadhani hili si jambo zuri kwa kweli. Shem anatumia mavitu ya ajabu ajabu nataka nimwambie sister lakini nashindwa.
Nlimsikia anaongea na simu akimwambia mwenzie kuwa amletee vichupa 10 vya Mkongo. Sijui kama haya mambo yana ruhusiwa katika mahusiano. Si jambo jema.
Toka nimekuja hapa home kwao shem naona amechange. Uchangamfu haupo tena. Anakuwa serious muda mwingi sijui amepatwa na nini. Mimi nipo hapa kwa muda mfupi tu. Toka nimemaliza fomu four mwaka jana.
Natafuta kazi wajameni. Hivyo mara nyingi naangalia kwenye TV matangazo. Siku nyingine unakuta Rimoti haipo. Kumbe kasahau kaenda nayo kazini. Kwa kweli shem amevurugwa sana.
Bwana mdogo hama hapo nenda kachakarike sehemu nyingine.Ukiendelea kukaa hapo yatakayokupata ni makubwa kuliko hayo.Ni kama anafanya kusudi Yaani Usiku kucha Shemeji anamfanya dada tendo la ndoa kwa kelele. Si mara moja si mara mbili. Dada analalamika kuchoka Shem anataka tu. Sidhani kama ni sahihi. Wananiamsha kwa kelele zao. Nakosa Usingizi kabisa.
Najiuliza hili jambo anashindwa kugundua kuwa sauti zinatoka hadi chumba nacho lala kweli? Maana nyumba yenyewe haina ceiling board, yaani nasikia kila kitu kabisa. Hadi wanapogeuka.
Sister akiamka asubuhi amechoka sana anasinzia mchana wote. Nadhani hili si jambo zuri kwa kweli. Shem anatumia mavitu ya ajabu ajabu nataka nimwambie sister lakini nashindwa.
Nlimsikia anaongea na simu akimwambia mwenzie kuwa amletee vichupa 10 vya Mkongo. Sijui kama haya mambo yana ruhusiwa katika mahusiano. Si jambo jema.
Toka nimekuja hapa home kwao shem naona amechange. Uchangamfu haupo tena. Anakuwa serious muda mwingi sijui amepatwa na nini. Mimi nipo hapa kwa muda mfupi tu. Toka nimemaliza fomu four mwaka jana.
Natafuta kazi wajameni. Hivyo mara nyingi naangalia kwenye TV matangazo. Siku nyingine unakuta Rimoti haipo. Kumbe kasahau kaenda nayo kazini. Kwa kweli shem amevurugwa sana.