Sijaweza lala usiku kucha, shemeji anachomfanya dada sipendezwi nacho kabisa

Asiyekutaka hakuambii toka. Ukiona vipi basi nenda kawaombe shoo japo raundi moja tu uridhike
 
Kwahiyo zile pwah pwah pwah unaskiaga πŸ˜‹.
Kijana Nenda Quarantine
 
I am coming out! I am coming out!
Natoka! Natoka!
 
hata kama munanipa ushauri lakini si kunikashifu. huo sio ustaarabu. sisi watanzania,waafrika ni ndugu kama shemeji hataki nikae kwake angesema tu kwani anaogopa nini.... mimi nimeshangaa tu kuwa kwa ninii afanye hivyo kila siku wengine tunashindwa kulala kwa amani.
 
Acha ujinga juongeze shemeji yako hataki ukae kwake. We ni mwanaume ogopa fedhea ondoka hapo rudi kwenu bhana
 

Kwa hiyo unamuonea wivu shemeji yako? Unataka akukaze wewe!
 
Dada kaolewa nawe umeolewaaa.
Kesho itakuwa ni zamu yako kumsaidia dada yako
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mhogo nastawi sana Samvula Chole na Simba wote wamerudi hi fadhila
mukuu huwezi rudi samvula chole wakati wa samvula chole wanakuja mjini. hapo tunapishana. mi natafuta kazi huku huku town kwanza .
 
Haudindishi ukisikia sister analalamika?
 
Sasa unaishije kwa shemeji yako?!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafu unapata guts kabisa za kutoa malalamiko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...move out
We nawe huna akili, ina maana humjui huyu mtu? Kwanini unapoteza muda wako?
 
Hahahaaaa kama unasikia hadi wanavyogeuka tafuta tu kwa kwenda dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…