Sijivunii wazazi wangu

Mzazi ni mzazi hata kama alikutupa jalalani wasamaria wema wakakuokota. Samehe patana nae, let the universe decide.
Hahahaha eti hata kama alikutupa jalalani[emoji1787][emoji1787][emoji16]....are u serious?
 
Imagine
 
Kama mtu hajawahi kupitia hiyo hali hata kwa udogo hawezi kuelewa jinsi we unaumia.

Mtu ambae wazazi wake ndio backup yake, mtu ambae mzazi wake ndio kaplay/anaplay part kubwa kwenye mafanikio yake hawezi kuelewa zaidi zaidi ataona wewe ni mtukutu, una kiburi, hupendi wazazi wako, hujitumi (mvivu) nk.

Lakini wanasahau wazazi nao ni binadamu, hii story yako ungeitoa wewe uwe kama third part tu(msimuliaji) , ungeona wadau jinsi ambavyo wangewananga hao wazazi wa kijana. Ila kwakua wewe ni wazazi wako basi wanacomment kwa hisia as if unawasema wazazi wao pia.

Mpaka umefikia kuandika hapa basi una njia zako za kuwamudu, washukuru kwa kukuzaa ila kuhusu kujivunia kua nao sidhani kama inamatter sana. Kama wewe hujivunii kua nao basi wafanye wao wajivunie kua na wewe.
Waambie hali halisi jinsi unavyohisi wakikutolea maneno machafu, tena uwaambie kipindi huna hasira.
 
Huwa hatuhesabu tulipotoka, mama wa kambo ambao ni watu wazima wanaisoma namba watoto waliowatesa leo wapo juu aibu kwao, mifano ni mingi.
Kuzaliwa masikini sio kosa lako bali kufa masikini.
 
Mjomba hakuna alieko kwa ajili yko dunia hii we chamsingi pambana umiliki utawala wako ila chunga sana kwenye kutafuta wa kuanza nae familia ili kuepusha kuja kutesa watoto wako
 
Waheshimu baba na mama yako upate heri na baraka ...
Me wangu nawaheshimu sana yanii sana mno maana walijua wajibu wao kwetu kama watoto na wakautimiza hawakuzaa kama mbwaa wakatutelekeza... hata leo wanatupa moyo kwenye magumu tusikate tamaa sio wazazi wa huyu jamaa.
 
Mimi nimekuelewa sana tu
 
Mimi nimekuelewa sana tu
hamna kitu kigumu kama kupambania kesho ya wazazi, kesho yangu, na kesho ya watoto wangu... though inawezekana maana hakuna linaloshindikana ukimuamini Mungu ila inauma ukiona wale unaojaribu kuwapambania wanapoonyesha kutokujali.
 
Dunia ya ckuiz imejaa deadbeat fathers & deadbeat mothers.

Mtoa mada Ni Mmoja tu Kati ya wengi waliotelekezwa na wazazi wao na wakawa na maisha magumu kupitiliza.

Anyways, mi nakushauri upambane tu Wala usiwawekee kinyongo wazazi wako.Muombe Sana Mungu akufungulie njia I'll uweze kufanikiwa mkuu.
 
th
thank you man
 
Usikate tamaa kijana.ipo siku watoto wako watafurahia kuwa na baba na mama bora. Endelea kupambana Mungu atakusaidia.
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Kama vipi bora usiwazae. Kwani walikuomba uwazae ili uwatese. Asee Mungu atuwezeshe na atupe hekima tupiganie uzao wetu

Mi baba angu ukiwa unaonewa na ndugu zake anakaa kimyaa badala ya kunitetea
Siku moja nikauwasha motooo nikamuwashia na yeye kwanin hawezitetea mwanae alaaa
 
Mi baba angu ukiwa unaonewa na ndugu zake anakaa kimyaa badala ya kunitetea
Siku moja nikauwasha motooo nikamuwashia na yeye kwanin hawezitetea mwanae alaaa
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Maza pia alikuwa hivyo ila nilijua tu ananipenda sema kubalansi ndugu zake na mtoto ilikuwa tatizo. Sema ndugu zake walikuwa hawawezi kutotetea watoto wao
 
Mi baba angu ukiwa unaonewa na ndugu zake anakaa kimyaa badala ya kunitetea
Siku moja nikauwasha motooo nikamuwashia na yeye kwanin hawezitetea mwanae alaaa
😁😁😁 utaambiwa ni laana umemvunjia heshima mzazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…