Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Big brow✊Tofautisha mapungufu na uhalifu au dhambi.
Kushindwa kumhudumia na kumtunza mtoto ni uhalifu, dhambi, ni kosa hata kisheria.
Hayo sio mapungufu unayotaka kusema.
Kama huwezi kuhudumia au kutunza Watoto usizae. Full stop.
Heshima inaenda kama utatimiza wajibu kama mzazi na sio uzae kama panya utelekeze Watoto alafu utake heshima ya Uzazi.
Hata panya analea Watoto wake.
Minafikiri, nijambo jema na lenye kheri iliyojaa baraka na kujivunia ikiwa unawaona wazazi wako, niliwahi kumsikia mzee mmoja alisema...... hata masikini huzaamkuu heshima ipo kwa wazazi wangu na nawapenda nilichokizungumzia juu ni hisia zangu za kutokujivunia wao.
kuna mzazi kalipwa kisasi mkuu mbona uzi wangu hauna lengo baya, Uzi wangu umelenga kueleza jinsi gani sijivunii kuwa na aina ya wazazi nilio nao ila ndo washakua no, way zaidi ya kupambana... Unamaana ya kwamba mtu akizaliwa kilema aufurahie? nop sio kweli ila anaweza tu kuridhia kishingo upande kwa kuwa hana jinsi.Mzee naona watu mkiambiwa kuwajali wazazi wenu mnatoa mapovu 😁Basi yaishe pelekeni kwa michepuko!
NI kweli kwamba mzazi asiyetimiza majukumu yake anafanya uhalifu! Lakini siungi mkono kulipa kisasi kisa mzazi wako hakukujali.
Hauna uvumilivu kijana, zaidi umekosa hekima..😊Watu wanashinda kuelewa, me sijasema siwaheshimu.... nawaheshimu sana na kuwapenda thats why unakuta najaribu kwenda nao hivihivi nina uhakika kwamba hata mimi ni mvumilivu sana pengine mwingine angeshawaropokea mbovu.
hata sasa nawakumbuka na ninawapenda pia mkuu.Cha msingi pambana, ukipata hela, trust me. Utawakumbuka tu na utawasaidia iko hivo yaani.
Muda unaongea. Ww pambana. Huna haja ya kuwakumbuka wazee kwa kuandika machungu yako unayoyaona.
Kwanza kwa kitendo cha wazazi wako kukuzaa na kukusomesha hadi darasa la 12, unapaswa kuwashukuru sana. Sio jambo jema na niukosefu wa hekima kuwasema wazazi wako vibaya kijana.kuna mzazi kalipwa kisasi mkuu mbona uzi wangu hauna lengo baya, Uzi wangu umelenga kueleza jinsi gani sijivunii kuwa na aina ya wazazi nilio nao ila ndo washakua no, way zaidi ya kupambana... Unamaana ya kwamba mtu akizaliwa kilema aufurahie? nop sio kweli ila anaweza tu kuridhia kishingo upande kwa kuwa hana jinsi.
nashukuru elimu ya bure lasivyo ningeishia la 8, Unaongea juujuu kwa kuwa hujui ni vitu gani nimepitia... Hukuwepo wakati nalia barabarani kama chizi hapa dar sijala kutwa na nobody alie-care, simu zao sikuziona kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa nawaomba wakati huo simu zangu kwao zilikuwa kero, japo wanitumie hela ya kula, Nimetembea sana na mguu hii Dar kwenda kibaruani na kurudi kwa ndugu zao walionitelekeza kwao... Nimechoteshwa maji usiku silali ili tu nipate chakula..... Simu zao zimeanza kuita baada ya kusikia mimi Nimepata kakazi ka uhakika.... Oi mkuu acha tu usi-comment hujui unachoandikaKwanza kwa kitendo cha wazazi wako kukuzaa na kukusomesha hadi darasa la 12, unapaswa kuwashukuru sana. Sio jambo jema na niukosefu wa hekima kuwasema wazazi wako vibaya kijana.
Hapa sasa nimeelewa kumbe namshauri mteja wa milembe..😎nashukuru elimu ya bure lasivyo ningeishia la 8
Una kejeli sana mwamba haya sawa nimekuelewa.Mkuu uhalisia ulivyo wewe na hizo pesa zako unazopata kwenye kuuza mapazia nyote ni mali ya baba yako, namaanisha wewe na mapazia yako ni miliki ya baba yako so muheshimu tu na umpe pale utakapojaaliwa maana hilo litakuzidishia baraka.
Yaani wewe maisha yako yatakua ni fumbo hadi mwisho wa dahari ...aisee ..uwe unasoma hata bible/quoran walau kujua wako ni nani hapa duniani! Hadi nasismka kusoma unavyoandika hapa...baba hana nyumba ni sawa, ubadhani babako anapenda kuishi kwa mamake? Unadhqni mamako anapenda kumwwita eti single mom?? Kwamba waloolewa wote wamefanikiwa yaani wewe utaishi na hii laana hadi kabiurini...TUBU😏sawa mkuu, hekima sina kwa sababu nimezaliwa na kulelewa na wasio na hekima
Ila mdogo wangu pambana. Kama tayari una pa kujishikiza endelea kupambana sana huku ukimwomba Mungu. Wazazi wetu ndo hawahawa... wanatukera sana ila ndo wa kwetu hakuna namna. Ili kuepusha kuwakosea adabu jitahidi kukaa tu kimya na kwenye ishu ya vizinga wasaidie pale unapoweza. Ila Kama ni juu ya uwezo wake waambie straight huna uwezo. Mwanzoni wanaweza kutokukuelewa ila baadae wataelewa. Wazazi huwa wanajifanya hawajali ila deep down wanatupenda na kutuwaza sana.ahsante sana mkuu
sawa mkuu nimekuelewa tuseme me ndo nina makosa kuongea ukweli.Yaani wewe maisha yako yatakua ni fumbo hadi mwisho wa dahari ...aisee ..uwe unasoma hata bible/quoran walau kujua wako ni nani hapa duniani! Hadi nasismka kusoma unavyoandika hapa...baba hana nyumba ni sawa, ubadhani babako anapenda kuishi kwa mamake? Unadhqni mamako anapenda kumwwita eti single mom?? Kwamba waloolewa wote wamefanikiwa yaani wewe utaishi na hii laana hadi kabiurini...TUBU😏
Ulitaka wakaibe wakupe maisha?? Kama wao tu hawajiwezi kwanini utake kupewa msaada wewe? Aise...sawa mkuu nimekuelewa tuseme me ndo nina makosa kuongea ukweli.
Wazazi wangapi wa kitanzania wanaowaambia watoto wao wa kike wavumilie ndoa zenye manyanyaso hadi mabinti wao wanapata vilema na wengine vifo kisa kusisitizwa na wazazi kuvumilia upuuzi? Nimekupa tu mfano mdogo kukuonyesha kwamba baadhi ya wazazi wanakosea sana. Mabadiliko yanahitajika.Yaani wewe maisha yako yatakua ni fumbo hadi mwisho wa dahari ...aisee ..uwe unasoma hata bible/quoran walau kujua wako ni nani hapa duniani! Hadi nasismka kusoma unavyoandika hapa...baba hana nyumba ni sawa, ubadhani babako anapenda kuishi kwa mamake? Unadhqni mamako anapenda kumwwita eti single mom?? Kwamba waloolewa wote wamefanikiwa yaani wewe utaishi na hii laana hadi kabiurini...TUBU😏
Nilidhani niko peke yanguKwanza kwa kitendo cha wazazi wako kukuzaa na kukusomesha hadi darasa la 12, unapaswa kuwashukuru sana. Sio jambo jema na niukosefu wa hekima kuwasema wazazi wako vibaya kijana.