Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisahau kusema kuwa humu pia tuna mayaya ambao kazi yao ni kulisha watoto wadogo by spoon fed!. Mimi kazi yangu ni kupika, na kupakua tuu na kukuletea chakula kwenye sahani, na kukuwekea kijiko uchote mwenyewe, uweke mdomoni mwenyewe, utafune mwenyewe ndipo umeze!. Sasa hawa wanaotaka kulishwa kutafuniwa wao ibaki kumeza tuu!, sorry I can't help!.Jibu swali si viroja mkuu
Hujanijibu hoja zangu kiongozi!!!He is a statesman!, kiukweli baada ya Tanzania kuongozwa na nyapara, watu wamezoea kuswagwa, anapotokea a statesman, watu wananuona weak, hebu msikilize hapa kwenye smart objectives zake ndio utaelewa
Take it from me, this fellow can make the best president this country has ever had!. The problem with we Tanzanian, kutokana na ule ujinga fulani, naomba nisiutaje, we never pick the best!.
Bahati mbaya sana wengi wetu wana macho ya nje, hivyo wanamchagiza Samia for 2025, sisi wenye jicho la tatu la ndani ndio tunamsaidia Samia kiukweli zaidi kwa kushauri the right thing to do 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo kama sio HM then ni JM, 2030 ndipo aje TA!.
P
Hahahaha[emoji23]Ulichoandika hapa ukitaka kujua ni kitu gani basi jitie dole nusa. Hiyo harufu nchi umeandika hapa. Pumba kiasi kwamba hakuna hata mtu anaweza kupoteza muda kukuelewesha ila kwa taarifa yako January ni moja ya wanasiasa tegemeo kubwa sana kuja kuweka mfumo mpya wa kuindoa nchi katika mkwamo. Keep hating.
He is a statesman!, kiukweli baada ya Tanzania kuongozwa na nyapara, watu wamezoea kuswagwa, anapotokea a statesman, watu wananuona weak, hebu msikilize hapa kwenye smart objectives zake ndio utaelewa
Take it from me, this fellow can make the best president this country has ever had!. The problem with we Tanzanian, kutokana na ule ujinga fulani, naomba nisiutaje, we never pick the best!.
Bahati mbaya sana wengi wetu wana macho ya nje, hivyo wanamchagiza Samia for 2025, sisi wenye jicho la tatu la ndani ndio tunamsaidia Samia kiukweli zaidi kwa kushauri the right thing to do 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo kama sio HM then ni JM, 2030 ndipo aje TA!.
P
Huyu jamaa ni asset. Watajaribu sana kumchafua lakini kama amepangwa kuja kuwa Rais wa Tanzania atakuwa. Mfano hapo huyu jamaa kasema madili, muulize dili lipi? Kajenga uwanja kwao? Kajenga apartments mji mzima huu? Au kama kambale wao alivyomjengea kimada hoteli mwenge.
Pole sana ndugu yanguNipo hapa saluni kinyozi kafata mafuta awashe jenereta amalizie kuninyoa.umeme umekatika wakati nishaanza kunyolewa.
hii ndo Tanzania ya karne ya 21,tulipofikia sasa baada ya miaka 60 ya uhuru.
Huyu Bimkubwa mzenji ana tabu sana yaani vijana na wazee wajinga kawajaza kwenye cabinet yake , mwenyewe anawaamini kweli kumbe yu awapaisha yeye mwenyewe nao wakipambana kutengeneza mazingira ya kukua kisiasa ili wachukue kiti chake!! Yaani sijui urais una nini yaani kama huyu msambaa na yule bwana tozo rais wa mawe wakifa bila kuwa rais hawataenda kuzimu watabaki duniani wakizunguka kama mandondocha!
Kwa sasa upigaji umerudi kila ofisi , ina maana Bimkubwa is weak? kila wizara imejaa uozo tu sasa si kama enzi za Magu watu walichapa kazi!!
Bimkubwa amka sasa wanakufelisha hao makusudi wanataka kiti chako!
Nami uwa napata shida naye, simuamini na sitegemei kumuamini mpaka siku natoka hapa duniani.Mimi kila anachokisema huyu bwana huwa nakitupa kwenye dastubi[emoji706][emoji706]
Huyu mtu huwa simuamini hata chembe
Je, ni mimi mwenyewe?Huwa ni ngumu sana kumuamini huyu jamaa?
Kuna chapisho moja niliona akisaini mkataba wa gesi wa trilioni 93 nikasema mhhhhh!
Sijui kwanini huwa simuamini January aisee?
Ukitaka kumjua huyu MTU yukoje angalia tu babake alivyo. Maana LIKE FATHER LIKE SON. Kwa hiyo ni mtu ovyo na hatari sana. Hafai hata udiwani kwa vile Katiba mbovuMakamba hana sifa ya kuwa kiongozi nikupe taarifa hiyo
Kwanza ni selfish, mpigaji, fisadi, na kanjanja wa madili.....
Nikuulize tu toka amekua waziri wa nishati kaleta outputs gani kwenye umeme au wizara yote?
Mnamkuza sana but he is good for nothing.......
He can't be presidentHuyu jamaa ni asset. Watajaribu sana kumchafua lakini kama amepangwa kuja kuwa Rais wa Tanzania atakuwa. Mfano hapo huyu jamaa kasema madili, muulize dili lipi? Kajenga uwanja kwao? Kajenga apartments mji mzima huu? Au kama kambale wao alivyomjengea kimada hoteli mwenge.
Bush Electrical Engineer Kipara,the Prince of Msoga Kingdom and Duke of Bumbuli!Mimi kila anachokisema huyu bwana huwa nakitupa kwenye dastubi[emoji706][emoji706]
Huyu mtu huwa simuamini hata chembe
Je, ni mimi mwenyewe?Huwa ni ngumu sana kumuamini huyu jamaa?
Kuna chapisho moja niliona akisaini mkataba wa gesi wa trilioni 93 nikasema mhhhhh!
Sijui kwanini huwa simuamini January aisee?
Wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani!He is a statesman!, kiukweli baada ya Tanzania kuongozwa na nyapara, watu wamezoea kuswagwa, anapotokea a statesman, watu wananuona weak, hebu msikilize hapa kwenye smart objectives zake ndio utaelewa
Take it from me, this fellow can make the best president this country has ever had!. The problem with we Tanzanian, kutokana na ule ujinga fulani, naomba nisiutaje, we never pick the best!.
Bahati mbaya sana wengi wetu wana macho ya nje, hivyo wanamchagiza Samia for 2025, sisi wenye jicho la tatu la ndani ndio tunamsaidia Samia kiukweli zaidi kwa kushauri the right thing to do 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo kama sio HM then ni JM, 2030 ndipo aje TA!.
P
Viongozi waliopita ambao watoto wao wako siasani ni wengi tukianzia na Mwinyi, Kikwete na Makamba. Ni kweli hawakuwa na mafanikio yoyote?.Na kibaya zaidi ni kuwa viongoz hao waliopita ambao mnawapigia chapuo watoto wao ,hawakuwa na mafanikio yeyote
Mkuu kumusoma , hili Watanzania wengi wenye talent ya uongozi na uwezo wa ku deliver wapo wakiachwa tuu na wale wanaojaribu kuingia wanazuiwa, wanakatwa, wanachinjwa na kuchinjiwa baharini, hili nakubaliana na wewe, na mimi mwenyewe ni mhanga!..Huku nje kuna Watanzania wengi wenye talent ,kubwa tunawaacha au kuwazuia kuingia kwenye system za Tanzania.Kweli Tanzania itafika ?
Mbona nilikujibu vizuri tuu na video from the horses mouth!Hujanijibu hoja zangu kiongozi!!!
1. Ameibadili TanescoNikikuuliza tu simple question kwamba tokea makamba awe waziri wa nishati ni kipi cha maana kakifanya unaweza kuniambia tafadhali?
Sii kweli, ni mjengaji hoja mzuri!Kwasababu kama ni kumpima tushampima vya kutosha
Uwezo wa kujenga hoja hana
Sii kweli, maneno mengi kweli ila mambo yanatekelezwa!.Ni mtu wa maneno mengi utekelezaji zero
Sii kweli, mambo yanatendeka na watu tunashuhudia, JNHPP maji yanajazwa!.Ni mtu wa maneno matupu vitendo ni zero
Not true!. Kuna mipango ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu hivyo mambo yanakwenda.Ni mtu wa ahadi tu but implementation ya ahadi hamna
Not true!, huyu ni one of the coolest guys in the cabinet, he never panics at all!.Ni mtu wa cheap politics siasa za kupanic panic hovyo
Kwa hili naomba nisimtetee ila yataje yaweke hadharani, kama una ushahidi, then ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.Ni mtu mwenye makandokando ya ufisadi mengi sana
It's the other way round, ana hoja kubwa nzito kuliko the standard comprehension ya watu wetu wengi, hivyo hamwelewi!Ana uwezo mdogo wa kujenga hoja anazidiwa hadi na wasio na shule
Mwinyi kabla hajawa rais wa JMT alipimwa kwa output gani?.Urais wa mtu unapimwa kwa outputs na kuwa uwezo wa kutekeleza mambo na kufanya maamuzi
hata hili sii kweli, sii kweli kuwa CCM inashinda kwa support from the deep state, CCM inashinda kwasababu it's the one and only serious credible party in Tanzania with the ability and capability!. CCM hakina mpinzani wala mshindani!, kinashindana na vyama wasindikizaji tuu!.Akigombea hawezi kushinda kwa kura za wananchi may be support from deep state maana sisiem bila dola (Polisi TISS) haiwezi kusavaivu
Mkuu butron, kwanza asante sana kwa mchango wako very objective, watu wenye objectivity ya kiwango hiki humu jf wanahesabika!. Thanks for this.Wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani!
Hili nimelisema hadi kumchagiza Mama asigombee 2025 na badala yake ampishe Dr. Hussein Mwinyi aje huku bara kumalizia mitano yake halafu 2030 ndipo tulete mgombea urais Mwanamke!. Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje MwanamkeUngesema Husein Mwinyi ungeeleweka kwasababu tunaona kazi zake kule Zanzibar,
Ni kweli baada ya kupenyezewa jina la JPM ile 2014, akina sisi tulilishusha hilo jina humu na tukalitolea angalizo!. Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuliata Hayati Magufuli alipendekezwa kwa kazi alizofanya na tuliziona kwa macho.
Naunga mkono JM apelekwe MFA kwenye the ncubator ya marais wetu diplomatic kama Mkapa na JK, apikwe awive!.Mimi January namuona anafaa kuwa Mshauri au kama Uwaziri basi aende Foreign Ministry.