dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Bibi kizee na ulozi wake kumtabiria waziri mkuu wetu majanga yampateHisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]:-[:-[hahahaaaUkishaona bibi anajiita foxy, Kuna ulakini hapo
Na ndicho mm nilimpendee huo udicteta wakeSema tu mwendazake alikuwa dictator.
Mnamtengenezea zengwe kwa vile amejitenga na uovu wenu wa kuingia mikataba ya ovyo. Na hilo zengwe lililopo jikoni hachomoki,wabaya sana nyie.Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Hili nalo neno litazamweKutunza na kulea waziri mkuu mstaafu ni gharama kubwa kwa nchi. Heri aendelee tu mpaka 2030 Wakamalize na Mama ili kuepuka gharama
Dollar za DP World hizoFaiza uko on fire [emoji91] sahv
Nyuzi ni bampa to bampa tu
Ova
hapwayi.. Katika lipi? Sasa hivi issue zimewekwa kwa mawaziri.. Na wao wanaweza mpigia simu mama moja kwa moja .. Lazima waziri mkuu atakuwa hana cha kufanya.. Na inasononesha... Hata akija nani atakumbwa na hali hiyo... Mwinyi alitumia sytle hiyo kutawala, Kikwete na sasa Mama.... Katelephone ni mhanga tu ..Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Kwani wapi imeandikwa maza lazima agombee?Hawaelewani na mama. Mama anamhisi vibaya kuhusu 2025, amemgombanisha na mawaziri wote wanamdharau. Anamfanyia manyanyaso sana.
Mbona kuna wakristo wanawaoa hao waislamu, nini kinatokea?Soma tena message ya Faiza, yuko sahihi kwa mujibu wa dini ya kiislamu.
hapwayi.. Katika lipi? Sasa hivi issue zimewekwa kwa mawaziri.. Na wao wanaweza mpigia simu mama moja kwa moja .. Lazima waziri mkuu atakuwa hana cha kufanya.. Na inasononesha... Hata akija nani atakumbwa na hali hiyo... Mwinyi alitumia sytle hiyo kutawala, Kikwete na sasa Mama.... Katelephone ni mhanga tu ..
Jpm hajawahi kuwa rais imara sema alikuwa muuaji imara hapo nakuelewa. Yule alikuwa ruler na siyo leader.Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.
kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.
Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.
Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.
MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Point .... Unakakasi sana kipindi hiki... Umeiona vizuri kabisaNa hasa aliponyang'anywa TAMISEMI, katika huu mfumo ambao rais anaweza kutokea zanzibar waziri mkuu alitakiwa kuwa na full mandate kuunda na kuendesha serikali. Maana hicho kinachoitwa serikali ya muungano essentially ni serikali ya Tanganyika. Kwa maana nyingine mzanzibari anaongoza serikali ya Tanganyika jambo ambalo linatia ukakasi.
Basi sisi tunamuona yuko sawaMadudu unayaona wewe, mimi sijayaona.
Masikini, wahuni wameshamkaanga kiswaswadu wa watu kweli wahuni siyo watuBasi sisi tunamuona yuko sawa
wanawaoa kiserikali lakini kidini hawatambulikiMbona kuna wakristo wanawaoa hao waislamu, nini kinatokea?
Huenda moyoni anaumia jinsi mama anavyoendesha nchi.😂🤣Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Kwa sababu dini ni swala la mwanaume, mwanamke yeye atabadilisha dini kufuata ya mumewe na wataenda kufunga ndoa kanisani......inakuwa imeisha hiyo.wanawaoa kiserikali lakini kidini hawatambuliki
Hajawahi kutosha,Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.