Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Uko sawa...kina jambo mahali haliko sawa
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Kessy atamaliza vzr muda wake, pasi na shaka!!
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Ndo mmeanza hivyo eeh?
 
Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU...
kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA..

Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.

Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.

MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
WEAK haitoshi pengini ni WEAKEST PRO
 
Halafu nani ataenda kutatua migogoro ya jamii.

Umfuatilii kila mgogoro ambao mawaziri wakishindwa yeye ndio anatumwa kusawazisha.

Ule wa Kariakoo ulikuwa mjini tu, kuna mingine mingi maji yakifika shingoni serikalini anarushwa yeye sema aina airtime vile za media. Ila huko kwenye mgogoro ni tatizo.

Tatizo wa chawa wa mama mnadhani kuendesha nchi ni kazi rahisi sana. Solution yenu ya kila tatizo huwa ni maskini waliongopewa na Magufuli hao awajui kitu. Wananchi washaanza kuisusa mikutano ya CCM.
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Makosa kibao ya uandishi, huko shule ulienda kusomea ujinga?
"jumfatilia"
"...akiwa bi kama mtu...."

Unakimbilia wapi bibi, tulia, andika vizuri.
 
Makosa kibao ya uandishi, huko shule ulienda kusomea ujinga?
"jumfatilia"
"...akiwa bi kama mtu...."

Unakimbilia wapi bibi, tulia, andika vizuri.
Usijali nayarekebisha yote. Nafahamu kufanya editing.

Shule nilizosoma hazikusomesha ujinga, bahati nzuri kuandika Kiswahili nimejifunzia hapa JF. Shule zetu za zamani Kiswahili lilikuwa somo moja tu.
 
Back
Top Bottom