Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Vipi Chief Hagaya naye atafika 2025?
 
Faiza uko on fire [emoji91] sahv

Nyuzi ni bampa to bampa tu

Ova
.
20230415_212951.jpg
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Kwa hivyo Dada, kassim na mwigulu huenda wakawekwa kando?
 
Kassim wala yeye hahitaji tena kuendelea na uPM.

Miaka yake 10 inamtosha. Atastaafu kwa heshima.

Kassim ni mzalendo aliyetukuka. Mwenye uchungu na Wananchi na rasilimali za nchi.

Ni mwenye njaa pekee ataambatana naye 2025. Naye ni Makamba.
Nchi haiendeshwi kwa hisia, huendeshwa kwa vitendo.

Kama "hahitaji" si ang'atuke tu, kwanini ajilazimishe?
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
anakosa ile kujiamini kwa Hali jinsi inavyokwenda , lkn Bora angesema hata Kama hawatachukua ushauri wake.
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabiScreenshot_2023-06-15-18-15-49-783_com.android.chrome.jpgsa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
 
Bila shaka ni mda wa George Simbachawene kuwa Pm au siyo?
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Atang'olewa, anaziba njia...
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Huyo jamaa angemuacha tu,maana kamfichia aibu nyingi Mama.Mama hana watu wa maana wa kupiga kazi,wengi waliomzunguka ni Chawa Promax yaani sawa na kosa alilofanya kumuondoa Lukuvi Wizara ya Ardhi.
Waziri Mkuu anafanya kazi kulingana na maelekezo ya Rais,sasa ukisema Majaliwa yupo tofauti na alivyokuwa wakati wa JPM unakosea,falsafa ya JPM na ya Mama ni tofauti!
Mama mtu wa Democracy sana wakati Magufuli alikuwa ni Hybrid Democracy(Democracy-Autocracy).
 
Huyo jamaa angemuacha tu,maana kamfichia aibu nyingi Mama.Mama hana watu wa maana wa kupiga kazi,wengi waliomzunguka ni Chawa Promax yaani sawa na kosa alilofanya kumuondoa Lukuvi Wizara ya Ardhi.
Waziri Mkuu anafanya kazi kulingana na maelekezo ya Rais,sasa ukisema Majaliwa yupo tofauti na alivyokuwa wakati wa JPM unakosea,falsafa ya JPM na ya Mama ni tofauti!
Mama mtu wa Democracy sana wakati Magufuli alikuwa ni Hybrid Democracy(Democracy-Autocracy).
Sema tu mwendazake alikuwa dictator.
 
Back
Top Bottom