Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Cheo ni dhamana tu
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Huyu Ka phone si ndugu yetu katika Imani?
 
Natamani iwe hivyo. Wanapwaya sana.

Mwigulu hana kabisa ethics, sasa hivi anatowa hotuba huku anavuta makamasi yajonkooni, yanasikika kwenyebm tv. Hili jitu halina kabisa oersonality ya kuwa waziri.
Kumbe Dada Faiza umeiona lile tukio,Mimi mwenyewe nimeshangaa,kwani hawezi kuzima mic,dah![emoji1787][emoji1787]
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Eti uchambuzi sasa umechambua nini hapa!!
 
Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.

wewe kama sio Muongo na mbeya
Weka Vigezo vya Kupwaya!
Isije kuwa hisia tuu au anatofautiana mawazo na wengine nk nk!
Weka Vigezo nasi tupime kwa vigezo ulivyoweka,Pia Tuangalie Majukumu yake tutoe maoni!
Tofauti na Hapo ni Majungu!
 
Screenshot_2023-06-15-18-46-03-734_com.mobifusion.android.ldoce5~2.jpg
 
wewe kama sio Muongo na mbeya
Weka Vigezo vya Kupwaya!
Isije kuwa hisia tuu au anatofautiana mawazo na wengine nk nk!
Weka Vigezo nasi tupime kwa vigezo ulivyoweka,Pia Tuangalie Majukumu yake tutoe maoni!
Tofauti na Hapo ni Majungu!
Nisome vizuri, kama hujaelewa ulichokisoma, sina muda wa kuendelea kukufundisha.
 
Back
Top Bottom