Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jjassome post namba moja. Naona kama unedandia basi kwa mbele.
Cheo ni dhamana tuHisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Huyu Ka phone si ndugu yetu katika Imani?Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Kumbe Dada Faiza umeiona lile tukio,Mimi mwenyewe nimeshangaa,kwani hawezi kuzima mic,dah![emoji1787][emoji1787]Natamani iwe hivyo. Wanapwaya sana.
Mwigulu hana kabisa ethics, sasa hivi anatowa hotuba huku anavuta makamasi yajonkooni, yanasikika kwenyebm tv. Hili jitu halina kabisa oersonality ya kuwa waziri.
Upo sahihi kabisa!Sema tu mwendazake alikuwa dictator.
George katulia,atafaa ila awe mkali kidogo namuona na yeye kama mpole sana.George naona yupo genuine. Atafaa.
Kassim Majaliwa Majaliwa nahisi hayupo genuine.
Eti uchambuzi sasa umechambua nini hapa!!Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Hamumtaki na yeye kawachoka ...
Nisome vizuri, kama hujaelewa ulichokisoma, sina muda wa kuendelea kukufundisha.wewe kama sio Muongo na mbeya
Weka Vigezo vya Kupwaya!
Isije kuwa hisia tuu au anatofautiana mawazo na wengine nk nk!
Weka Vigezo nasi tupime kwa vigezo ulivyoweka,Pia Tuangalie Majukumu yake tutoe maoni!
Tofauti na Hapo ni Majungu!