myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Uko sawa...kina jambo mahali haliko sawaHisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Kessy atamaliza vzr muda wake, pasi na shaka!!Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Ndo mmeanza hivyo eeh?Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Mnapwaya nyinyi kina Mama..Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Stick to ur post..Kuchanganya lugha ni muhali, kwa sasa liwache kama lilivyo mpaka nipate neno sahihi kwa Kiswahili.
WEAK haitoshi pengini ni WEAKEST PROKwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU...
kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA..
Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.
Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.
MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Rais si Muislam..Faiza uko on fire [emoji91] sahv
Nyuzi ni bampa to bampa tu
Ova
Kupwaya ni kutokutosha, ndio ulivyomaanisha?Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Makosa kibao ya uandishi, huko shule ulienda kusomea ujinga?Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
Usijali nayarekebisha yote. Nafahamu kufanya editing.Makosa kibao ya uandishi, huko shule ulienda kusomea ujinga?
"jumfatilia"
"...akiwa bi kama mtu...."
Unakimbilia wapi bibi, tulia, andika vizuri.