Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Vipi Chief Hagaya naye atafika 2025?Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana jatika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa bi kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni "analysing" yangu binafsi ya kawaida tu, nimeona niisanuwe.
.Faiza uko on fire [emoji91] sahv
Nyuzi ni bampa to bampa tu
Ova
Kweli, kuvunja baraza la mawaziri ni kazi, nadhani ndiyo hilo linamfanya azidi kuwepo, lakini akiendelea kama alivyo, itakuwa hakuna budi.Kwa muda ulio baki kutoka sasa hadi 2025 itakuwa vigumu sana labda mambo yaharibike sana.
"........nendeni mkaliangalie na hili"Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Hakuna budi haiwezi kuzidi hakuna sababuKweli, kuvunja baraza lanmwaziri ni kazi, nadhani ndiyo hilo linamfanya azidi kuwepo, lakini akiendelea kama alivyo, itakuwa hakuna budi.
Kwa hivyo Dada, kassim na mwigulu huenda wakawekwa kando?Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Wacha amalize mzigo wa kuwatunza mawaziri wakuu wastaafu tunaubeba sisi.Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Nchi haiendeshwi kwa hisia, huendeshwa kwa vitendo.Kassim wala yeye hahitaji tena kuendelea na uPM.
Miaka yake 10 inamtosha. Atastaafu kwa heshima.
Kassim ni mzalendo aliyetukuka. Mwenye uchungu na Wananchi na rasilimali za nchi.
Ni mwenye njaa pekee ataambatana naye 2025. Naye ni Makamba.
anakosa ile kujiamini kwa Hali jinsi inavyokwenda , lkn Bora angesema hata Kama hawatachukua ushauri wake.Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Natamani iwe hivyo. Wanapwaya sana.Kwa hivyo Dada, kassim na mwigulu huenda wakawekwa kando?
Kipanya kastuka mapema 😂Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Atang'olewa, anaziba njia...Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Kweli, kuvunja baraza lanmwaziri ni kazi, nadhani ndiyo hilo linamfanya azidi kuwepo, lakini akiendelea kama alivyo, itakuwa hakuna budi.
Huyo jamaa angemuacha tu,maana kamfichia aibu nyingi Mama.Mama hana watu wa maana wa kupiga kazi,wengi waliomzunguka ni Chawa Promax yaani sawa na kosa alilofanya kumuondoa Lukuvi Wizara ya Ardhi.Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Sema tu mwendazake alikuwa dictator.Huyo jamaa angemuacha tu,maana kamfichia aibu nyingi Mama.Mama hana watu wa maana wa kupiga kazi,wengi waliomzunguka ni Chawa Promax yaani sawa na kosa alilofanya kumuondoa Lukuvi Wizara ya Ardhi.
Waziri Mkuu anafanya kazi kulingana na maelekezo ya Rais,sasa ukisema Majaliwa yupo tofauti na alivyokuwa wakati wa JPM unakosea,falsafa ya JPM na ya Mama ni tofauti!
Mama mtu wa Democracy sana wakati Magufuli alikuwa ni Hybrid Democracy(Democracy-Autocracy).