cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Umemalizaaa kila kitu.Hamumtaki na yeye kawachoka ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemalizaaa kila kitu.Hamumtaki na yeye kawachoka ...
Mbna bandari kauzaa? Ndugai mbna alimtoa??Mzanzibar hawezi ng'oa mtu wa Bara. Hizo ni ndoto amka uta kojoa kitandani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama'ko huwa anatumia kiungo gani? Ukiwa na jibu, ndiyo hicho hicho. Unaweza kusasambuwa tu.
hakuna ulazima inategemea makubaliano tu. Wapo waislamu wengi ambao hawakubadili dini na wameolewa na wakristo. Lakini kidini ni kuwa ndoa za aina hizo hazitambulikiKwa sababu dini ni swala la mwanaume, mwanamke yeye atabadilisha dini kufuata ya mumewe na wataenda kufunga ndoa kanisani......inakuwa imeisha hiyo.
😆😆Hebu tuone kitakachofuata
🤣🤣🤣🤣Fanya uchukue fom ijaze huenda ukawa ww chiefKuna Mtu tayari ananyemelea nafasi ya naibu ambayo haikuwapo imerejeshwa ni hatma?
Utamuweka nani? msituongezee gharama za kutunza wastaafu, mlipiga kelele Ndugai ajihuzulu matokeo ake ndiyo tumepata Spika wa hovyo kuliko hata shetaniAnatakiwa apishe haraka
Tangu hawali hatoshelezi popote
NakuelewA sana FaizaFoxy kwenye huu uzi nimuona leo utabiri wako sema kumng'oa haiwezekani italeta doa kwa serkaliHisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
OkMajaliwa anaandaliwa kuwa Makamu wa Rais 2025....
Mipango atapangiwa Majukumu mengine...
Lengo ni kuweka Waziri Mkuu Msukuma ili kuchota huruma ya Wasukuma.Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Huu uchawi unaelekea huko kutimia muda si mrefu... majaliwa ajitafakari mwenyewe, aepuke aibu...!!Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Hata sasa amembeba sanaa....muda utaongeaaa ...tutajua mengi na yoteHisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Wewe Ni chawa promax unaonekanaGeorge naona yupo genuine. Atafaa.
Kassim Majaliwa Majaliwa nahisi hayupo genuine.