Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
[emoji23][emoji23][emoji23]Haupo serious kbs Kuna wenzako hawapati hata hao wa kawaida wanaishia kupga puchu
Mkuu bado hujamsaidia.You + **** = Kupendwa tena kupendwa kweli
Hapo kwenye nyota maelezo yake ni haya [emoji116]
Nakuhakikishia, Ukianza kwa kujipenda na kujijali we mwenyewe zaidi basi hao unaowahitaji utawapata tena kwa urahisi zaidi. Na tena watakutengenezea mazingira mazuri ya kuwapata mwisho wa siku utarudi kutoa ushuhuda tena humu JF kwa jukwaa la kula tunda kimasihara.
Hiyo ndogoMademu Wazuri invoice zao ni kubwa Sana,Mimi nishaombwa laki 480,000
Huo ni ushuzi kama ushuzi mwingine ni kujidanganya. Demu mkali anajulikana acha siasaBRO unaweza kumfanya demu wa kawaida akawa mkali , mveshe vizur, mpendezeshe na nywele nzuri marafiki Zako nao watamtamani
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio uliamzisha ule uzi wa mkeo kukutengea unga na mboga mbichi kwenye hotpot
Ahsantee mkuuKaribu please angalau nami nijisikie nipo... Ipo wazi.
"Alisikika mwanajukwaa la intelijensia akizungumza" [emoji23][emoji23]Laki 480k unajua ni kiasi gani? Una level gani ya elimu?
"Tumshukuru mama anazalisha wasomi wa aina yake! Halafu unakuta anafanya kazi benki kuu ya Tanzania, tena mhasibu ghorofa ya tano, chumba kina kiyoyozi, unakuta anabembea kitini na midevu yake iliyochongwa", ilisikika sauti kutoka Radio TanzaniaKidogo, ila nina mashaka na degree yako ya uhasibu. Hujui hata kuandika ulichoandika, unawezaje ku deal na issues zinazo involve tarakimu za pesa? Huchanganyi mambo kweli?
Ili siku akikuchoka mgawane mali pasu kwa pasu! Wakati yeye alichangia vikombe tu!! [emoji23]NB:Kwenye kuoa tafuta mwanamke anayejua nini maana ya maisha na mwenye akili ya maisha,ili muendeleze mikondo ya kuingiza hela.
Mungu hakupi unachotaka anakupa unachostahiliMi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
[emoji23]kwa mbususu gani walizo nazo ? mbususu ina vipere Kama churaNyie wa jf sii ndio wale ambao mnasema mwanaume asipo nihonga millioni mbususu yangu ataishia kuisikia tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wahuni sio watu[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu alipiga puchu kwa muda mrefu mpaka macho yake yakawa yanaona ublue! Siku anapata papuchi, kutelezesha tu, gari ikazimikia huko huko ndani! Akaandaa 400,000 ya kutibu tatizo!
Awe msafi au uwe msafi wa mwili na roho/nafsi.Mkuu bado hujamsaidia.
Mwambie au tuambie ufanye vipi ili ujipende ?
Ujiangalie kila muda ndio umejipenda ?
Kuvaa vizuri nguo na kupiga pasi ndo kujipenda ?
Au kupiga punyeto sana ndio kujipenda ?
Tunaomba ufafanuzi mkuu
Pitia comment yangu nyingine hapo juuHiv tunaposema uanze kwa kujipenda mwenyew ni ni nin maan yke naomb ufafanuzi Zaid nijifunze
Duh🙂🙂😟😟 ...!! Huyo ni chuma ulete..kuna pis iliniomba efu ishinatano,nilikimbia mbio ndefu kama usain botMademu Wazuri invoice zao ni kubwa Sana,Mimi nishaombwa laki 480,000
Unataka kugundua nnEm tupia kwanza picha yako tukuone...
Wacha akae nayo imuozeee....Nyie wa jf sii ndio wale ambao mnasema mwanaume asipo nihonga millioni mbususu yangu ataishia kuisikia tuu🤣🤣🤣