TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Sasa hivi Tume ya uchaguzi wanaandikisha watu kwa kutumia makaratasi katika mfumo wa kitabu wakati zoezi hili lilipaswa like kidigitali papo kwa papo,vile vishikwambi waliwahonga walimu ilipaswa viifadhiwe kwa matumizi mbalimbali kama haya,ingekuwa ni suala la kuunda mfumo nakuupakia kwenye nkishikwambi na kwenda field.
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali