Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Takrima...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Unefikiria nje ya boxIlikuwa ni danganya toto, dhidi ya maslahi yao
Asante kwa kushiriki,wenye akili wameelewaKwa bahati mbaya sijui hata kura inavyopigwa mkuu
sasa siwaunda mfumo misili ya web kama ilivyokuwa kwa sensa mkuu kama ndio hivyo,ili watumiaji wanafanya kubrowse ?Kweli mzee ApK za nje ya playstore haziingii hata ufanyeje, pia app nyingi tu zonadunda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweliBora hata walivyovigawa mpaka sasa hivi vingekuwa vimeshaibwa vyote.
Serikali ingetumia data base ya sensa kwa mtu kuja na ID anapiga kura. Sijaona maana ya kujiandikisha mara kitambulisho cha utaifa, cha kupiga kura, liseni, passport na vyote vya serikali ambavyo havina suluhisho kwa jambo lingine la serikali. Simply ni kuwasumbua raia na kuliingiza taifa hasara za mara kwa mara. Ushauri kwa Serikali ni kuwa na kitambulisho kimoja kitumike kwa mambo yote kutokana na database.Sasa hivi Tume ya uchaguzi wanaandikisha watu kwa kutumia makaratasi katika mfumo wa kitabu wakati zoezi hili lilipaswa like kidigitali papo kwa papo,vile vishikwambi waliwahonga walimu ilipaswa viifadhiwe kwa matumizi mbalimbali kama haya,ingekuwa ni suala la kuunda mfumo nakuupakia kwenye nkishikwambi na kwenda field.
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Hakuna watu wanaofikiri kwa upevu,hata hivyo kuna masilahi kwa watuSerikali ingetumia data base ya sensa kwa mtu kuja na ID anapiga kura. Sijaona maana ya kujiandikisha mara kitambulisho cha utaifa, cha kupiga kura, liseni, passport na vyote vya serikali ambavyo havina suluhisho kwa jambo lingine la serikali. Simply ni kuwasumbua raia na kuliingiza taifa hasara za mara kwa mara. Ushauri kwa Serikali ni kuwa na kitambulisho kimoja kitumike kwa mambo yote kutokana na database.
Tupunguze umasikini bhana daah hizo si kama simu tu..Umeona hoja ya msingi ni laptop? Ama kishikwambi mkuu? Ama “memory is running low?”
Mali Za umma Zitumike kwa tijaTupunguze umasikini bhana daah hizo si kama simu tu..
Mkuu si wamepewa walimu maisha yaendelee hizo Borgsburg ukiwa na nguvu unaokota za kumwaga hapa unataka tujadili kama ni vitu vya maana sana..Mali Za umma Zitumike kwa tija
Wahuni wangeviuza mnooBora walivigawa kwa walimu..
Yaani toka 2022 sensa unadhani vingekuwepo mpaka leo?
Kwa mifumo ya utendaji kazi serikalini, vingepotea vingi sana
Huyu jamaa ana wivu soma comments zake utajuaKila mwaka yanapotea mabilioni na hakujawahi mtu yeyote kuwajibishwa itakuwa hivyo vishikwambi!
Acha ujinga wako wewe wivu utakuuwaNimuhimu kwa serikali kubana matumizi,na hii ni sehemu ya kubana matumizi pia
Nikawaida ya mtu ambaye ni nunda kupanic pale akishindwa kuolewa,Nione wivu kishikwambi ambacho hata mwanangu anamiliki?,Jitahidi kuzuia kutukana watu pasipo sababu.Yamkini hakuna ulichoelewa abadaniAcha ujinga wako wewe wivu utakuuwa
Kama umeumia sana kunywa sumu ufe
Hivi unajua watu wamepewa piki piki nchi nzima
Maafisa kilimo na mifugo
Bado zile za Samia
Inawezekana uwezo wako ukawa ni mdogo zaidi yangu,maana kama umeshindwa kuelewa mantiki ya nilichokiandika japo kidogo tuUwezo wako kifikira ni mdogo sana.
Huu ni wizi CCM wamefanya dhidi ya Walimu kupitia serikali.
Kumbuka ahadi ya computer mpakato kwa kila Mwl mwaka 2015.
Tatizo ni mnafiki wa kujitegemeaInawezekana uwezo wako ukawa ni mdogo zaidi yangu,maana kama umeshindwa kuelewa mantiki ya nilichokiandika japo kidogo tu
Fikira ndio gani kitu kwanza?Uwezo wako kifikira ni mdogo sana.
Huu ni wizi CCM wamefanya dhidi ya Walimu kupitia serikali.
Kumbuka ahadi ya computer mpakato kwa kila Mwl mwaka 2015.