SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,071
- 1,960
Wengi wamenunua simu hata za kausha damu......Unaona walimu hawavihitaji ?
Vishkwabi wamegawa kwa watoto.
Peleleza utagundua hilo, ni wachache sana ndio wanatumia hasa vijijini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wamenunua simu hata za kausha damu......Unaona walimu hawavihitaji ?
Vilikuwa zaidi ya laki 6, walimu nchi nzima ni laki 2.5 TU!Sasa hivi Tume ya uchaguzi wanaandikisha watu kwa kutumia makaratasi katika mfumo wa kitabu wakati zoezi hili lilipaswa like kidigitali papo kwa papo,vile vishikwambi waliwahonga walimu ilipaswa viifadhiwe kwa matumizi mbalimbali kama haya,ingekuwa ni suala la kuunda mfumo nakuupakia kwenye nkishikwambi na kwenda field.
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Kila mwaka yanapotea mabilioni na hakujawahi mtu yeyote kuwajibishwa itakuwa hivyo vishikwambi!ungekuwa ni uzembe na watu wangewajibishwa,sababu vile vishikwambi vimeunganishwa na mifumo ambayo unaweza kujua kipo wapi sasa vinapoteaje kizembe mkuu?
Nimuhimu kwa serikali kubana matumizi,na hii ni sehemu ya kubana matumizi piaSerikali haitumii vitu used. Kazi yake ilikwisha mara tu baada ya zoezi la sensa kukamilika.
Kama wangeona umuhimu wa vishkwambi kwenye hili zoezi wangenunua vingine.
Serikali inapesa nyingi. Hata hapa tunapoingia jf serikali inapata pesa kupitia bando zetu
Eh!,SubannalahVilikuwa zaidi ya laki 6, walimu nchi nzima ni laki 2.5 TU!

Kila mwaka yanapotea mabilioni na hakujawahi mtu yeyote kuwajibishwa itakuwa hivyo vishikwambi!
kwamba vingine wameshajizawadia au wamegawa taasisi zingine,kwanza ni walimu wote walipewa?Eh!,Subannalah![]()
Ah umeshitukia dili mwaisaMajina yakiwa kwenye system wataiba vipi kula maana hata kupiga kura tutapiga Kwa njia hiyo!!
Ni majizi yaliyokubuhu,hakuna kitu wana utaalamu nacho ccm zaidi ya wizi.kwamba vingine wameshajizawadia au wamegawa taasisi zingine,kwanza ni walimu wote walipewa?
Tekinolojia inabadili isee simu cha 2022 ukisema utumie 2024 unaweza kufail maana kuna app hazita kuwa supported kutoka na umri wa simu usika.Sasa hivi Tume ya uchaguzi wanaandikisha watu kwa kutumia makaratasi katika mfumo wa kitabu wakati zoezi hili lilipaswa like kidigitali papo kwa papo,vile vishikwambi waliwahonga walimu ilipaswa viifadhiwe kwa matumizi mbalimbali kama haya,ingekuwa ni suala la kuunda mfumo nakuupakia kwenye nkishikwambi na kwenda field.
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Nilikuwa mwalimu bahati nzuri,je kipi kilichobadirika zaidi kuingiza matokeo na kujaza ripoti kupitia mfumo kwa msaada wa kishikwambi?, unajua kwamba kila shule inapaswa kuwa na registrar kama ndio hivyo mkuu?,bado hujanishawishi nipate hoja zaidi yamkinfa
Faida zipo hasa kuandaa current notes,saizi wana andaa softcopy na wanaweka kwenye kishikwambi kisha wana updates kila wanapohitaji kufanya hivyo.tofauti na kuandika kwenye daftari.Nilikuwa mwalimu bahati nzuri,je kipi kilichobadirika zaidi kuingiza matokeo na kujaza ripoti kupitia mfumo kwa msaada wa kishikwambi?, unajua kwamba kila shule inapaswa kuwa na registrar kama ndio hivyo mkuu?,bado hujanishawishi nipate hoja zaidi yamkini
Sasa hivi Tume ya uchaguzi wanaandikisha watu kwa kutumia makaratasi katika mfumo wa kitabu wakati zoezi hili lilipaswa like kidigitali papo kwa papo,vile vishikwambi waliwahonga walimu ilipaswa viifadhiwe kwa matumizi mbalimbali kama haya,ingekuwa ni suala la kuunda mfumo nakuupakia kwenye nkishikwambi na kwenda field.
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Hata kama walivihitaji je uhitaji wao ulikuwa ni muhimu kuliko uhitaji ktk shughuri nyinginezo?Unaona walimu hawavihitaji ?
Dah!!View attachment 3129859View attachment 3129860Ndio wanavyovitumia vishkwabi.
View attachment 3129858

Sikubahatika kuviona,lakini kwa uelewa wangu,kama ni kwa ajili ya masuala ya serikali,systems zinaundwa na wataalam wa TEHAMA wa serikali hivyo kabla ya kuunda systems ni muhimu wazingatie version ya kifaa itakayotumika mfumo huo,sijui zilikuwa ni tablets ama iPAD?Tekinolojia inabadili isee simu cha 2022 ukisema utumie 2024 unaweza kufail maana kuna app hazita kuwa supported kutoka na umri wa simu usika.
Ingawa kwa vile vishikwambi na quality ile inaonekana kabisa serikali ilipigwa vibaya mno sasa hasira zile wakaona bora wawape walimu tu wasivione huko store.
Umeona hoja ya msingi ni laptop? Ama kishikwambi mkuu? Ama “memory is running low?”Daah kwa hiyo tujadili Laptop kweli Tanzania na watu wake ni maskini ila sio kwa level hiyo.um
Nchi Ina Hela we wasiwasi wako WA nini? Tutanunua vingine pia kumbuka pia nchi ilipewa msaada ivyo vishikwambi na Japan
Uthibitisho wa hili mkuuNchi Ina Hela we wasiwasi wako WA nini? Tutanunua vingine pia kumbuka pia nchi ilipewa msaada ivyo vishikwambi na Japan
Sawa,kuna mdau katudokeza hapo juu kwamba vilikuwa laki 6 na walimu wapo laki 2.5,hivi 3.5 yamkini tuvifanye reserve kwanini visitumike ktk kazi kama hii ya uboreshwaji wa daftari?Faida zipo hasa kuandaa current notes,saizi wana andaa softcopy na wanaweka kwenye kishikwambi kisha wana updates kila wanapohitaji kufanya hivyo.tofauti na kuandika kwenye daftari.
Pia kutafuta resources mbali mbali za kufundishia,kutunza maendeleo ya watoto katika somo,kungiza matokeo na kutoa report kwa wakati.faida zipo nyingi
Esther abane matumizi?Nimuhimu kwa serikali kubana matumizi,na hii ni sehemu ya kubana matumizi pia
Kweli mzee ApK za nje ya playstore haziingii hata ufanyeje, pia app nyingi tu zonadundaTekinolojia inabadili isee simu cha 2022 ukisema utumie 2024 unaweza kufail maana kuna app hazita kuwa supported kutoka na umri wa simu usika.
Ingawa kwa vile vishikwambi na quality ile inaonekana kabisa serikali ilipigwa vibaya mno sasa hasira zile wakaona bora wawape walimu tu wasivione huko store.
Kwa bahati mbaya sijui hata kura inavyopigwa mkuuAh umeshitukia dili mwaisa