Ni sababu ya ufinyu wa akili yako,? Kwani kuwapa laptop lilikuwa agizo la mtu au sera?,au mkakati wa wizara ? ,then unaweza kututhibitishia Pasi nashaka kwamba Upewaji wa vishikwambi ulikuwa na mantiki ya kimkakati,kimpango na kisera tangu ununuaji wake kwamba vikitumika katika zoezi la sensa watapewa walimu?,abadani wewe ni zumbukuku ashakumu si tusi ahadi ya mtu ata awe Rais wa nchi kama haipo katika ilani na sera ya chama si sehemu ya utekelezaji na haipaswi kuingia katika budget.katika budget ya wizara ya elimu,sayansi na tecnologia mwaka 2021-2022,2022-2023 ,kunasehemu walizungumzia uhitaji wa hivyo vifaa kwa walimu,?