TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
-
- #61
Labda kama walishituka kwamba walipigwa ktk manunuzi hivyo havitakuwa na msaada kwa muda mrefuTablet nying sasa walizogawa hazisomi SIM CARD muda mwingi zinaandika NO SERVICE. Na tatizo hilo halirekebishiki
Kubana matumizi kwa serikali ni muhimu,hapo ndipo msingi wa hoja ulipo pia,lahasha kuna mdau katujuza hapo juu kwamba vishikwambi vilikuwa laki 6,na walimu wapo lak 2.5,je hivyo laki 3.5 vi wapi? Kwanini visitumike kwa zoezi hili?Kila sector inahitaji kutumia technology
Hivyo vishikwambi vinatakiwa kununuliwa kwenye Kila sector
Kwani budget si zipo pesa wanapeleka wapi vishikwambi china mpaka dollar 30 unashindwaje kununua tamisemi yenye budget ya trion Kama 18 Kila mwaka!!?
Hukuandika kwa maana ya kuilaumu serikali kuwapa Walimu hivyo vishikwsmbi badala ya kuwapa computer,bali unaona kuwa ni vyema wasingeliwapa na kuendelea kuvitumia ktk shughuri nyingine.Inawezekana uwezo wako ukawa ni mdogo zaidi yangu,maana kama umeshindwa kuelewa mantiki ya nilichokiandika japo kidogo tu
Ni sababu ya ufinyu wa akili yako,? Kwani kuwapa laptop lilikuwa agizo la mtu au sera?,au mkakati wa wizara ? ,then unaweza kututhibitishia Pasi nashaka kwamba Upewaji wa vishikwambi ulikuwa na mantiki ya kimkakati,kimpango na kisera tangu ununuaji wake kwamba vikitumika katika zoezi la sensa watapewa walimu?,abadani wewe ni zumbukuku ashakumu si tusi ahadi ya mtu ata awe Rais wa nchi kama haipo katika ilani na sera ya chama si sehemu ya utekelezaji na haipaswi kuingia katika budget.katika budget ya wizara ya elimu,sayansi na tecnologia mwaka 2021-2022,2022-2023 ,kunasehemu walizungumzia uhitaji wa hivyo vifaa kwa walimu,?Hukuandika kwa maana ya kuilaumu serikali kuwapa Walimu hivyo vishikwsmbi badala ya kuwapa computer,bali unaona kuwa ni vyema wasingeliwapa na kuendelea kuvitumia ktk shughuri nyingine.
Na hapo ndipo nmekuona kuwa una uwezo mdogo mno,ulipaswa kukosoa ni kwa nini wamewapa Walimu vishikwambi badala ya computer walizowaahidi.
Kwani kuna sehemu uliona ama kusikia Walimu wakiomba hivyo vishikwambi?Ni sababu ya ufinyu wa akili yako,? Kwani kuwapa laptop lilikuwa agizo la mtu au sera?,au mkakati wa wizara ? ,then unaweza kututhibitishia Pasi nashaka kwamba Upewaji wa vishikwambi ulikuwa na mantiki ya kimkakati,kimpango na kisera tangu ununuaji wake kwamba vikitumika katika zoezi la sensa watapewa walimu?,abadani wewe ni zumbukuku ashakumu si tusi ahadi ya mtu ata awe Rais wa nchi kama haipo katika ilani na sera ya chama si sehemu ya utekelezaji na haipaswi kuingia katika budget.katika budget ya wizara ya elimu,sayansi na tecnologia mwaka 2021-2022,2022-2023 ,kunasehemu walizungumzia uhitaji wa hivyo vifaa kwa walimu,?
mkuu mbona unatumia ngv nyng kuliwazia taifa hili, kwamba kungekua na ulazima wa kuvitumia wangeshindwa kununua? be humble. Acha waalim waenjoySasa hivi Tume ya uchaguzi wanaandikisha watu kwa kutumia makaratasi katika mfumo wa kitabu wakati zoezi hili lilipaswa like kidigitali papo kwa papo,vile vishikwambi waliwahonga walimu ilipaswa viifadhiwe kwa matumizi mbalimbali kama haya,ingekuwa ni suala la kuunda mfumo nakuupakia kwenye nkishikwambi na kwenda field.
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Tumia wi-fi!!!Tablet nying sasa walizogawa hazisomi SIM CARD muda mwingi zinaandika NO SERVICE. Na tatizo hilo halirekebishiki
Already expired. Vingi vipo scraper room ya mafundi. Yaani ni vibovu visivyofaa kwa matumizi ya muda mrefu. Wangenunua samsung wasingegawa na iwapo wangegawa basi wangegaiana wabunge na maofisa wa juu.Sasa hivi Tume ya uchaguzi wanaandikisha watu kwa kutumia makaratasi katika mfumo wa kitabu wakati zoezi hili lilipaswa like kidigitali papo kwa papo,vile vishikwambi waliwahonga walimu ilipaswa viifadhiwe kwa matumizi mbalimbali kama haya,ingekuwa ni suala la kuunda mfumo nakuupakia kwenye nkishikwambi na kwenda field.
Sijajua lengo lakugawa lilikuwa nini? Wakati mahitaji ya matumizi ni mengi sana kwa serikali
Asante kwa taarifa,kwani vilikuwa aina gani maana sijawahi kuviona live,Already expired. Vingi vipo scraper room ya mafundi. Yaani ni vibovu visivyofaa kwa matumizi ya muda mrefu. Wangenunua samsung wasingegawa na iwapo wangegawa basi wangegaiana wabunge na maofisa wa juu.
Usifikiri wanasiasa hawana akili.
Maana yake havina uwezo wakufanya kazi ipasavyo ,kuna walimu nawafahamu sijawahi kuwaona navyo na hata notes wanaandaa kwa daftari na penTumia wi-fi!!!
Ila Wenzio walilibaini hilo mapema pamoja na matatizo ya kukataa App muhimu so why wamewapa watoto wachezee subway surfersView attachment 3130340
Mda mwingine ni technophobia. Hawana ujuzi w kutumia tech hivyo wanaendelea na mtindo wa kizamani. Hata maprofesa wapo wasiotumiateknolojia kufundishia.Maana yake havina uwezo wakufanya kazi ipasavyo ,kuna walimu nawafahamu sijawahi kuwaona navyo na hata notes wanaandaa kwa daftari na pen