Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Basi jitahidi usome tu katiba ya nchi walau, sio unakuja na story paspo kuitaja katiba wakati mada zungumzwa inahusu katiba na mambo mhimu kwa maendeleo ya taifa.

Kitendo cha mambo kuendeshwa kwa lugha za kitumwa ni kukubali utumwa moja kwa moja
 
 
Kazi ya kitengo cha kijasusi na kazi chafu ndani ya kanisa Catholic hiyo
 
Kanisa Catholic ni cabal ya crime , kila kazi chafu unayoijua , hawa wahuni (priests) wamefanya na wanaendelea kufanya , someni hiki kitabu
Hata holocaust dhidi ya wayahudi kule ulaya kulikuwa kuna mkono wa Roman Catholic and papacy
 
Kanisa Catholic ni cabal ya crime , kila kazi chafu unayoijua , hawa wahuni (priests) wamefanya na wanaendelea kufanya , someni hiki kitabu
Hata holocaust dhidi ya wayahudi kule ulaya kulikuwa kuna mkono wa Roman Catholic and papacy
Kitabu gani mkuu
 
Imagine kama mwalim ndo alitoa hoja hiyo ,vp kuhusu mwanafunzi ambae ni zao la huyo mwalim.
 
The order of Opus Deus
 
Hamna lolote mbona huko Africa magaribi watu wa nafanya mambo yao
 
Absolutely Nonsense.
Knights Temple sio hadithi na Masonic lodges sio hadithi usithubu kuwafanyia uhanithi watakufundisha adabu mpaka ujue hujui na ukigundua ni pale wanakunyanazisha ili usije kutoa tahadhari kwa mafala wenzako ishi kwa misingi ya haki and follow the Masonic laws hakuna mtu atakusumbua
 
Elezea basi kidogo na wengine waujue upumbavu wake
Hana akili. Yani anaona sifa kulinganisha kanisa na mafia ,dola ya Rumi? Vitu ambavyo si kweli, na hakuna rais anaenda kuhusu rosary pale. Hajui ata kinachoendelea ni likitu lijinga sana. Na kama ni mkatoliki ni mpumbavu.
 
Hivi nani kawadanganyeni tunawaogopa? Mtajua hamjui. Yani crusade itakuwa chamtoto.
 
Upuuzi mtupu 🚮 Ndio maana GENTAMYCIME alikuibia jina
 
Bado unaamini katika ujima,huko duniani mambo ya rc sijui luthel walishaachana nayo,hasa kwa hao israel ndio awaamini kwenye dini yoyote zaidi ya jewish,ila wapange tu kwa story zako za kwenye vijiwe vya kahawa
 
Hii mada ipo levo za juu mno. Kwa upeo mdogo wa wtz walio wengi ninaowafahamu wataishia kukutukana tu
Watanzania wengi wanacho elewa ni kula kimasihara na kubishana Simba na Yanga.

Mada kama hizi hawawezi elewa,

Ni sawa na kumfundisha mtoto wa Darasa la nne, Hesabu za Calculus, Differentiation & Integration.
 
Hana akili. Yani anaona sifa kulinganisha kanisa na mafia ,dola ya Rumi? Vitu ambavyo si kweli, na hakuna rais anaenda kuhusu rosary pale. Hajui ata kinachoendelea ni likitu lijinga sana. Na kama ni mkatoliki ni mpumbavu.
Aisee, basi kupitia maelezo yako naweza sema usiwe mwepesi kufanya hitimisho kabla ya utafiti,

Hujui kama tunapotaja agents of colonialism dini ipo? Tena kwenye orodha ipo ktk nafasi za juu kabisa, na imeplay part kubwa kuwezesha swala la ukoloni kuenea kwa speed? unadhani ipo kwa bahati mbaya?

Kwa nia njema kwanin dini haikutajwa kwa vitu vyema hadi ikawekwa kwenye list ya uwakala wa ukoloni? Je lengo la dini lilitimia kiasi cha kua na taswira tofauti na ilivokua mwanzo?

Mihemko hurahisisha njia kuelekea dhambini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…