Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Yani mtu mweusi akisomeshwa seminari lazima baadae aje kuwa spy wa roma mtu mweusi hatoboi yani ni Magufuli tuu hakwenda kubusu pete pale vatikani
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    31.4 KB · Views: 3
Padri wako ndivyo alivyokuaminisha?? Dunia iko chini ya USA pamoja na ISRAEL na UINGEREZA na kama unabisha mwambie mama aseme suu kwa hizo nchi mbili. Papa kila siku anatukanwa uarabuni huko. Mtukane malikia basi tuone sakata lake.
Kelele nyiiiingi! Huko unapopataja tumeishi miaka zaidi ya 20, kila chocho na lifestyle tunazijua unakuja kupiga kelele hapa. Kuna maisha yasioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika na masikio ya kawaida na huwezi kujua, kusikia wala kuona unless uwe mfatiliaji na smart enough kichwani! Huwezi kuelewa

Vatican isikie hivyohivyo!
 
Bimkubwa bado hajatoa tamko la mwisho kweny mkataba kwahyo tulia wakati anaendelea kufikiria kwa namna ya kumalizana na waarabu
 
Padri wako ndivyo alivyokuaminisha?? Dunia iko chini ya USA pamoja na ISRAEL na UINGEREZA na kama unabisha mwambie mama aseme suu kwa hizo nchi mbili. Papa kila siku anatukanwa uarabuni huko. Mtukane malikia basi tuone sakata lake.
Malkia wa wapi na wewee? Malkia ashakufaga hujui hata

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
TAIFA TEULE LA MUNGU NI MOJA TU ISRAEL NA HAWO HAWAABUDU SANAMU ZA PAPA WANAAMINI KATIKA MUNGU WA ISAYA 9:6
 
Kelele nyiiiingi! Huko unapopataja tumeishi miaka zaidi ya 20, kila chocho na lifestyle tunazijua unakuja kupiga kelele hapa. Kuna maisha yasioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika na masikio ya kawaida na huwezi kujua, kusikia wala kuona unless uwe mfatiliaji na smart enough kichwani! Huwezi kuelewa

Vatican isikie hivyohivyo!
Vitu havionekani wala kusikika wewe umevisikia wapi..huko hujaishi peke yako sio lazima tukufungulie mafaili..nchi zenye military power zinajulikana..wewe huna exposure acha kukaa vijiweni
 
Hawawezi kutangaza vita hawa waoga hawa,
Mikwaraaa mingiii
Na hawajui kama sasa hivi watu wamejipanga, tena mpaka mapandikizi yao kwenye taasisi zetu tumeshawajua, na safari hii hawachomoki,
Saanisasa
Hakuna kurudi nyuma kwani iwe isiwe siku moja utaondoka tu kwahiyo vijana wa kiislamu wote tukutane pale kidongo chekundu siku ya ijumaa ijayo
mnawashwa acheni ujinga
 
Nimesoma nimecheka kimya kimya sema watanzania bado akili zetu hazichakati mambo vizuri topic ya genta haijakaa kidini hata kidogo katoa skeleton namna world intelligence ilivyo watu tumekimbilia udini tunachukua vitu kwa mihemko sana
Yaani inAshangaza kwakweli kila sehemu wanatangaza vita duh! ugali unawasumbua
 
Hujajibu hoja ni mfalme gani huyo ebu tupe jina na aliongoza mwaka gani?? Alafu toka lini uingereza mfalme akawa na nguvu wakati nchi inaongozwa na malkia?? Rudi tena kijiweni kwako waagizie kahawa wakufafanulie
unataka kunichosha kufungua vitabu vya historia nini? Pambambana na waraka wa TEC kwa hoja, ukichomoka hapo nitag tuendelee na mjadala bila jazba
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
 

Attachments

Its yet another myth as no one has ever seen that space technology?🤔
I'm sorry sir , it's how you comprehend the word invisible don't take it too contemplative for it will loose the meaning of the intent described.

I used the word " Invisible" in sense that it's not famous, people don't talk much about it but that doesn't mean it's not there.
Have a wonderful evening.🤠
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
hayo mawazo yako ahyana ukweli wowote na mengine uzushi wako hakuna unalojua
 
Back
Top Bottom