Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Ndugu mtanzania mwenzetu... Kabla hujaandika kitu kwa lengo la kupinga au kubisha nenda ukasome ufuatilie kwanza kwenye vitabu, majarida na mitandaoni.

Hao Vatican ndo waongoza dunia sasa kama hujui na aliyoyaandika huyo unayembishia ni kweli kabisa!
Hivi kweli kabisa Ulitegemea Mpumbavu kama huyo Anielewe Mimi GENTAMYCINE na huu Uzi wangu unaohitaji Akili Kubwa Kuuelewa?

Cc: Mwiba1
 
Rich people hawawezi kuwa upande wa hao wanafiki especially Kwa Tanzania maana matajiri wa Bongo ni Waislamu.
Kila Siku huwa Nasisitiza hapa JamiiForums kuwa kama unajijua kuwa hukubarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa na Akili Kubwa na ulipewa Upumbavu usiwe unapoteza muda wako Kufungua Mada zangu GENTAMYCINE ambazo zinahutaji IQ iliyotukuka Kuzielewa.
 
Hivi kweli kabisa Ulitegemea Mpumbavu kama huyo Anielewe Mimi GENTAMYCINE na huu Uzi wangu unaohitaji Akili Kubwa Kuuelewa?

Cc: Mwiba1
Mzee mwenzangu nauelewa uwezo wako, ila vijana wameshakuona kama Babu yao... ilimradi wakucharue tu waridhike. Si kila anaeku-criticize anahitaji response yako Kaka, wengine huchukia watu kwa mikumbo.

Kwenye ukweli tuseme na kwenye uongo/baya tuseme. Yote kwa yote mswahili haishiwi neno.

Maisha yaendelee mkuu! 👊🏾💪🏾👍🏾🙌🏾
 
Miongoni mwa vitu ambavyo nimekuwa nikilishwa sumu, kuanzia nyumbani, shuleni na kwenye sanaa (movies) kadhalika kwenye mamedia ni kuwa marekani ndio baba Wa dunia na anaweza Fanya lolote atakalo

Kuna mwalimu mmoja akadiliki hadi kusema marekani anastahili maana ndio taifa pekee linakupiga huku linakulisha....ujinga mkubwa

Nimekuwa nikidanganywa sana

" the lie they agreed to tell each other over and over again until they forget it's a lie"

Mapropagandist wakubwa, wanafiq na madhwalim tu! at least mchungaji munishi Wa Kenya anayo akili maana ndio huwa anajaribu kuwatahadharisha ndugu zake na ulaghai wa hawa mabwana

Hatupendi machafuko ila hii ya Ukraine at least ina reveal ukweli kuwa ni uongo kuwa hao NATO na huyo mpuuzi mwenzao wakitaka kufanya chochote muda wowote wanakiwasha!

Bila wale jamaa dunia ingekuwa tulivu sana, wale jamaa na zaidi ya firauni
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
Mwanangu GENTAMYCIME unaruhusiwa kukosoa uwezavyo ila lugha zisizo na staha Kwa Viongozi hazipendezi hata kidgo
 
Miongoni mwa vitu ambavyo nimekuwa nikilishwa sumu, kuanzia nyumbani, shuleni na kwenye sanaa (movies) kadhalika kwenye mamedia ni kuwa marekani ndio baba Wa dunia na anaweza Fanya lolote atakalo

Kuna mwalimu mmoja akadiliki hadi kusema marekani anastahili maana ndio taifa pekee linakupiga huku linakulisha....ujinga mkubwa

Nimekuwa nikidanganywa sana

" the lie they agreed to tell each other over and over again until they forget it's a lie"

Mapropagandist wakubwa, wanafiq na madhwalim tu! at least mchungaji munishi Wa Kenya anayo akili maana ndio huwa anajaribu kuwatahadharisha ndugu zake na ulaghai wa hawa mabwana

Hatupendi machafuko ila hii ya Ukraine at least ina reveal ukweli kuwa ni uongo kuwa hao NATO na huyo mpuuzi mwenzao wakitaka kufanya chochote muda wowote wanakiwasha!

Bila wale jamaa dunia ingekuwa tulivu sana, wale jamaa na zaidi ya firauni
Hiyo Aya ya mwisho kama Pana ka ukweli,Papa alikwenda Kremlin kukutana na Putin,Putin akaweka meza ndeeefu akizungumza na papa.wachambuzi wanasema alimdharau.
 
HATA MKAPA , JAKAYA NA SAMIA MUDA MFIPI BAADA YA KUAPOSHWA WALIENDA VATCAN.

jF KENEDY ALILETA Ubishi kushindana na VATCAN Baada ya Muda Mfupi sana Akauwawa kama MBWA Pale Texas.
 
I rarely comment, but intelligent mind will understand you.

To add more Vatican has a advanced space technology and yet remain invisible 🤙
If its invisible how come you know that it exists 🤔
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
Inakuwaje waziri mkuu aende Vatican ilihali nchini mwao wanataka pitisha Sheria kuwa ukisikika hadharani unamtaja Yesu unafungwa jera miaka miwili?
Screenshot_20230515-172320.png
 
kwa taarifa yako huko kwenye kahawa ndiyo kuna stori nyingi za ukweli. Shangaa wakati wa vuguvugu kuelekea uchaguzi mkuu wanasiasa hutembelea vijiwe vya kahawa hata kama si wanywaji wa kahawa. Wananunua mabirika yote na kuwanywesha wanywaji wanywe tani yao. Unafikiri hao wanasiasa wanatafuta nini huko? Wanatafuta habari za ukweli wa mambo yanasemwaje, upepo unavumaje kuhusu kupata kura dhidi ya wapinzani wao. Usilete ubishi kwa mambo usiyoyajua kimizania ukweli wake upoje
Hujajibu hoja ni mfalme gani huyo ebu tupe jina na aliongoza mwaka gani?? Alafu toka lini uingereza mfalme akawa na nguvu wakati nchi inaongozwa na malkia?? Rudi tena kijiweni kwako waagizie kahawa wakufafanulie
 
Ndugu mtanzania mwenzetu... Kabla hujaandika kitu kwa lengo la kupinga au kubisha nenda ukasome ufuatilie kwanza kwenye vitabu, majarida na mitandaoni.

Hao Vatican ndo waongoza dunia sasa kama hujui na aliyoyaandika huyo unayembishia ni kweli kabisa!
Padri wako ndivyo alivyokuaminisha?? Dunia iko chini ya USA pamoja na ISRAEL na UINGEREZA na kama unabisha mwambie mama aseme suu kwa hizo nchi mbili. Papa kila siku anatukanwa uarabuni huko. Mtukane malikia basi tuone sakata lake.
 
Hivi kweli kabisa Ulitegemea Mpumbavu kama huyo Anielewe Mimi GENTAMYCINE na huu Uzi wangu unaohitaji Akili Kubwa Kuuelewa?

Cc: Mwiba1
Kama huu uzi wako ndio IQ yako ilipoishia basi wewe ni mgongo wazi. Mimi nakuuliza facts wewe unaongea upumbavu utakuwa umelelewa na bibi wewe. Vatican unaijua wewe?? Ulishaenda vatican wewe?? Vatican ni mji mdogo tu ndani ya italy eti uifananishe power na mmarekani...kama unafacts nitakujibu ila kama unakuja na hoja alizokulisha padre wenu mimi nitakuona choko tu.
 
Back
Top Bottom