Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi nisemeje sasa!!?mimi nime uvaa tuu uhusika,kwamba mimi ndo mke wangu huyo.Acha ushamba brooo
Mke wa mtu sumu. Usijekukatwa mapangaKwann
Mke wa mtu sumu manKivip sasa
Naweza ila ni mremboo
Piga simu Kwa ndugu wawe karibu ili wakuveshe pampers ukishatatuliwa kama pazia la hekaluHali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali. Baada ya hapo, nilijikita kwenye mambo yangu, lakini nikipata nafasi humjulia hali. Alinieleza kuwa mumewe anampa changamoto sana kwa kuwa mtu wa wanawake wengi, nami nikamshauri avumilie.
Leo saa moja aliniita kwa simu na kusema kuwa anakuja kulala kwangu, akidai kuwa mumewe amemkera sana. Mtoto wake ameacha kwa dada yake na anasema atakamata bodaboda kuja. Ameomba nimpokee na hata nimwandalie chakula. Sasa niko njia panda; nimkaribishe au nimpuuze? Tafadhali, naomba ushauri wenu.
Wakafanye niniNendeni nyumba ya wageni
Hayo mambo yanazungumzika, kama hauamini muulize ferooz wa Mkasa wa Boss.Mke wa mtu sumu man
#tunza linda lako wadau hawana huruma ukikamatwa