Sijui niite bahati au nini hii?

Sijui niite bahati au nini hii?

Wanaume tunapitia mambo mengi sana, usikubali kuupokea mzigo wa mwanaume mwenzio kirahisirahisi hivyo..............
 
Sawa sawa mkuuu
Mwamke huyo haujamteka kuja kumbaka ghetton kwako, kaja kwa utashi na hiari yake binafsi. unaanzaje kupata hofu?! Ww mshikishe adabu kwa kumchapia mkia wa kenge. Et Mwanaume smart, unaanzaje kwenda kupigana na Wanaume wenzio kwaajil ya Mwanamke mzinifu asiye kutii wala kukuheshim?! Utapigana na Wanaume wangapi au utafumania mara ngapi?!
 
Kama una nyota ya mende tafadhali usijaribu
Hali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali. Baada ya hapo, nilijikita kwenye mambo yangu, lakini nikipata nafasi humjulia hali. Alinieleza kuwa mumewe anampa changamoto sana kwa kuwa mtu wa wanawake wengi, nami nikamshauri avumilie.

Leo saa moja aliniita kwa simu na kusema kuwa anakuja kulala kwangu, akidai kuwa mumewe amemkera sana. Mtoto wake ameacha kwa dada yake na anasema atakamata bodaboda kuja. Ameomba nimpokee na hata nimwandalie chakula. Sasa niko njia panda; nimkaribishe au nimpuuze? Tafadhali, naomba ushauri wenu.
 
Hali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali. Baada ya hapo, nilijikita kwenye mambo yangu, lakini nikipata nafasi humjulia hali. Alinieleza kuwa mumewe anampa changamoto sana kwa kuwa mtu wa wanawake wengi, nami nikamshauri avumilie.

Leo saa moja aliniita kwa simu na kusema kuwa anakuja kulala kwangu, akidai kuwa mumewe amemkera sana. Mtoto wake ameacha kwa dada yake na anasema atakamata bodaboda kuja. Ameomba nimpokee na hata nimwandalie chakula. Sasa niko njia panda; nimkaribishe au nimpuuze? Tafadhali, naomba ushauri wenu.
Vijana ambao hawaja owa mara nyingi hujiona mashujaa, rijali aka mandiko hasa inapotokea kutembea na mke mtu.
Hakuna sifa wala shujaa mbele ya mke wa mtu kijana.
Mara nyingi anayejiona bingwa wa kufanya mwisho wake yeye pia hufanywa na kuishi kulia lia.
Acha mke wa mtu labda kama una utaka.
 
Hali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali. Baada ya hapo, nilijikita kwenye mambo yangu, lakini nikipata nafasi humjulia hali. Alinieleza kuwa mumewe anampa changamoto sana kwa kuwa mtu wa wanawake wengi, nami nikamshauri avumilie.

Leo saa moja aliniita kwa simu na kusema kuwa anakuja kulala kwangu, akidai kuwa mumewe amemkera sana. Mtoto wake ameacha kwa dada yake na anasema atakamata bodaboda kuja. Ameomba nimpokee na hata nimwandalie chakula. Sasa niko njia panda; nimkaribishe au nimpuuze? Tafadhali, naomba ushauri wenu.
Kudadadeki, ushaozwa ndoa ya mkeka mkuu. Huyo mapa kuondoka kwako sijuwi labda Yesu afufuke upya.
 
Hali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali. Baada ya hapo, nilijikita kwenye mambo yangu, lakini nikipata nafasi humjulia hali. Alinieleza kuwa mumewe anampa changamoto sana kwa kuwa mtu wa wanawake wengi, nami nikamshauri avumilie.

Leo saa moja aliniita kwa simu na kusema kuwa anakuja kulala kwangu, akidai kuwa mumewe amemkera sana. Mtoto wake ameacha kwa dada yake na anasema atakamata bodaboda kuja. Ameomba nimpokee na hata nimwandalie chakula. Sasa niko njia panda; nimkaribishe au nimpuuze? Tafadhali, naomba ushauri wenu.
Kwa taarifa yako, wanaotekwa na kukutwa wamekufa misituni wengi wao huwa wamechukua wake za watu.

Mimi sikuombei utekwe bali ukamatwe upigwe kiboga, utobolewe macho na ukatwe masikio yote then wakuache ukafie mbele mwenyewe kwa kunywa sumu.
 
STUPID! Nyege ndio zinakufanyia maamuzi mkuu. Umeona uweke rehani Marinda yako kisa UCHI.

Mtu isikufaa akili yako, utakudhuru Ujinga wako.

Be a Man, kulomba wake za watu ni udhaifu. Wanawake single wamejaa mtaani, kwanini ukale makombo ya kidume mwenzio. Huwezi kutongoza?
Hata single mothers nao ni makombo Mkuu🥴
 
Huyo mwanamke atakuwa zao la single mother,
Anapata wapi nguvu ya kukuambia umuandalie chakula hata aibu Hana!
 
Nenda kasikilize wimbo wa JAIVA_MTOTO KAUTAKA then sikiliza kwa makini utapata majibu.

NB.
Kasome mathayo 7:17/19
 
Ningejua huja baadae....hakuna kitu kibaya kama kula wake za watu,kumbuka hata swala hula majani lakini na yeye huliwa na simba!
 
Hali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali.

Baada ya hapo, nilijikita kwenye mambo yangu, lakini nikipata nafasi humjulia hali. Alinieleza kuwa mumewe anampa changamoto sana kwa kuwa mtu wa wanawake wengi, nami nikamshauri avumilie.

Leo saa moja aliniita kwa simu na kusema kuwa anakuja kulala kwangu, akidai kuwa mumewe amemkera sana. Mtoto wake ameacha kwa dada yake na anasema atakamata bodaboda kuja.

Ameomba nimpokee na hata nimwandalie chakula. Sasa niko njia panda; nimkaribishe au nimpuuze? Tafadhali, naomba ushauri wenu.
Mpuuze ujue siku utakuja kuoa mkeo ataliwa hivyohivyo,ili kuvunja hiyo circle mpuuze
 
Back
Top Bottom