Kabla sajaanza kujamiiana huwa ninapata hamu shida unakuja Pala ninapomwaga manii ninakuwa sipati raha yaani siuoni impact ya ya kujamiiana kote zaidi ya kumridhisha wife.angalia stres mkuu, huenda ikawa stress zinakusumbua ...kuna wakati stress za kazi hunikata mzuka hata mwezi sishiriki ngono maana hamu hakuna....
kivyovyote vile mkuu, hilo ni tatizo la kisaikolojia... pole sana na litafutie tiba..🙏🙏Kabla sajaanza kujamiiana huwa ninapata hamu shida unakuja Pala ninapomwaga manii ninakuwa sipati raha yaani siuoni impact ya ya kujamiiana kote zaidi ya kumridhisha wife.
Punguza stress you will be ok..Wakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote. Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.
Yaani hii hali tangu ianze kunitokea mpaka leo ndo hivyo hivyo iwe ugenini iwe nyumbani.Hiyo hali inatokea unapomnyandua mkeo tu au hata viwanja vya ugenini?
Nitanya hivyo 🙏Punguza stress you will be ok..
😅Wamekuroga mzee umechepuka sana na mademu
Na perform vizuri ila pale ninapomwaga manii na kutopata msisimko ndiko kuninipa maswali mengi magumu yasiyo na majibu.Nilitaka nicomment kimasihara, ila kwa hili pole mkuu, punguza stress mchawi stress na hofu, jaribu mastailo mapya huenda unapiga ileile deilee...
Yeah umenena mkuu, ule utamu haupo kabisa ila kusex nasex bila shida.Ulicholeta mleta mada nakuelewa, yaani ule utamu haupo au upo kidogo sana kulinganisha na enzi hizo umebalehe.
Sijui sababu ya hali ya kupotea kwa raha inasababishwa na nini?
Mazoezi mkuu piga matizi ya kutosha kula matunda overBora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
unapiga bakary nondo mwam....?Na perform vizuri ila pale ninapomwaga manii na kutopata msisimko ndiko kuninipa maswali mengi magumu yasiyo na majibu.
Ni kama uume una ganzi
Hapanaunapiga bakary nondo mwam....?
Ngoja nifanye hivyoMazoezi mkuu piga matizi ya kutosha kula matunda over
unakunywa sana soda,energy, au tungi?Hapana