White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
Amini umetoka salama, katoe sadaka ya shukraniAsante sana mkuu, hata bado siaminiš¢š¢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini umetoka salama, katoe sadaka ya shukraniAsante sana mkuu, hata bado siaminiš¢š¢
Kampongeza dereva kwa kupeleka gari mtaroni nadhani hujasoma vizuri !.Daktari anamtibu mgonjwa ila sifa zote zinaenda kwa Mungu.
Kaa ukijua baraka za Mungu haziji kwako moja kwa moja, kuna watu wameandaliwa ili baraka zako zipite kwao kwanza.
Sijaona mahali umempongeza dereva.
Ni sawa na ajali ikiua msanii pamoja na wenzake, focus itakuwa kwenye mauti ya msanii tuu utadhani wale wengine waliokufa ni mbwa.
Ame-edit uzi baada ya Mm kuandika hy Comment, kuna comment ameniambia ataongezea hy point ya kumshukuru dereva.Kampongeza dereva kwa kupeleka gari mtaroni nadhani hujasoma vizuri
Lakin nia ya madaktari ni kuokoa uhai wa mgonjwa na sio kumuua, hy ndo Point yangu.Kuhusu madaktari kupewa sifa acha iendelee hivyohivyo maana na wao wanapenda sifa sana lakini mgonjwa akifa lawama wanazipeleka kwa Mungu eti " Tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA!"
Yaani mgonjwa akipona ni kazi ya daktari na mgonjwa akifa ni KAZI YA MUNGU!. Hii sio sawa!.
Hakika ntafanya hivyo mkuuAmini umetoka salama, katoe sadaka ya shukrani
Dah! Hii hatutarudia tena mkuuš¢š¢Ajali huwa zipo na nyingi ni uzembe na nyie ni mfano wa hao wazembe na wapumbavu sijui mngekufa want JF wenzako tungejuaje wafikishie ujumbe wapumbavu uliokuwa nao waambie don't drink and drive
Haikuwa lifti tulikuwa kampani kwa pamojaMambo ya kupenda lift. Kwanini usipande hata usafiri wa umma
Kwanini unasema hivyo mkuuš„²š„²Mngekufa tu wote.
Asante sana Mungu ni mwema aiseePombe haina shida.
Shida iko kwa waliokuwa wanapaisha gari
Hongera kwa kutoka salama.