Sijui niseme nini lakini Mungu alikuwa upande wetu jana.

Sijui niseme nini lakini Mungu alikuwa upande wetu jana.

🙄🙄yamekuwa hayo tena mkuu
Mnajua kabisa sheria inazuia kuendesha ukiwa umelewa,ila nyie mkalewa,halafu mkaendesha,kwa kweli hapa sio kuua watu na kujiua bila,bali uharibifu wa Mali pia.

Hizo gari ingebidi zitaifishwe,na nyie kama ni wafanyakazi mishahara yenu 50% ikatwe kufanya marekebisho ya barabara,na wahanga wapatiwe hayo makato muda wa miaka 12 mfululizo.

Adhabu zikiwa kali,tutabadilika.
 
Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.

Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.

Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.

Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.

Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.

Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌

Muwe na jumapili njema wakuu.
Acha pombe sasa, mungu ana sababu ya kukuacha hai...
 
Mnajua kabisa sheria inazuia kuendesha ukiwa umelewa,ila nyie mkalewa,halafu mkaendesha,kwa kweli hapa sio kuua watu na kujiua bila,bali uharibifu wa Mali pia.

Hizo gari ingebidi zitaifishwe,na nyie kama ni wafanyakazi mishahara yenu 50% ikatwe kufanya marekebisho ya barabara,na wahanga wapatiwe hayo makato muda wa miaka 12 mfululizo.

Adhabu zikiwa kali,tutabadilika.
Tumejifunza lakini siku nyingine hatutafanya hivyo
 
ndio makundi yenyewe usiwe mbishi binti badili mwenendo acha ulevi hautokusaidia chochote maishani wala sio sifa njema kwa mwanamke na mtu yoyote anaejitambua
Kwanzia leo nimeshaacha mkuu, sitafanya tena hizo mambo
 
niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi,
Hayo ndiyo maombi yenu.

Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso.
Hapa mkajibiwa maombi yenu.

Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa
Unashukuru Mungu kwa kutotimiza maomvi yenu?

Mungu hadhihakiwi, utavuna unachopanda
 
niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi,
Hayo ndiyo maombi yenu.

Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso.
Hapa mkajibiwa maombi yenu.

Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa
Unashukuru Mungu kwa kutotimiza maomvi yenu?

Mungu hadhihakiwi, utavuna unachopanda
 
Hayo ndiyo maombi yenu.


Hapa mkajibiwa maombi yenu.


Unashukuru Mungu kwa kutotimiza maomvi yenu?

Mungu hadhihakiwi, utavuna unachopanda
Hapa naona umeshindwa kuelewa mkuu
 
Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.

Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.

Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.

Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.

Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.

Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌

Muwe na jumapili njema wakuu.
Mnachezea maisha vijana huku misema R.I.P,hakuna hiyo kwa Uzembe!
 
Kwa taarifa Yako hii... Yule Dereva kakosa Kazi....!

Baada ya muda ataanza kwenda Kwa Waganga kusema atakua kalogwa sio Bure.
Watu wangu,waangamia kwa kukosa maarifa, wewe unajua unaenda kwenye pombe kwa Nini usitumie Bajaj au taxi?!
 
Back
Top Bottom