Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #81
Wala siyo makundi hawa ni watu nafahamiana nao nilikuwa nawapa kampanitabia za makundi rika zitakuponza binti yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala siyo makundi hawa ni watu nafahamiana nao nilikuwa nawapa kampanitabia za makundi rika zitakuponza binti yangu
Mnajua kabisa sheria inazuia kuendesha ukiwa umelewa,ila nyie mkalewa,halafu mkaendesha,kwa kweli hapa sio kuua watu na kujiua bila,bali uharibifu wa Mali pia.🙄🙄yamekuwa hayo tena mkuu
ndio makundi yenyewe usiwe mbishi binti badili mwenendo acha ulevi hautokusaidia chochote maishani wala sio sifa njema kwa mwanamke na mtu yoyote anaejitambuaWala siyo makundi hawa ni watu nafahamiana nao nilikuwa nawapa kampani
Acha pombe sasa, mungu ana sababu ya kukuacha hai...Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.
Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.
Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.
Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.
Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.
Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌
Muwe na jumapili njema wakuu.
Tumejifunza lakini siku nyingine hatutafanya hivyoMnajua kabisa sheria inazuia kuendesha ukiwa umelewa,ila nyie mkalewa,halafu mkaendesha,kwa kweli hapa sio kuua watu na kujiua bila,bali uharibifu wa Mali pia.
Hizo gari ingebidi zitaifishwe,na nyie kama ni wafanyakazi mishahara yenu 50% ikatwe kufanya marekebisho ya barabara,na wahanga wapatiwe hayo makato muda wa miaka 12 mfululizo.
Adhabu zikiwa kali,tutabadilika.
Kwanzia leo nimeshaacha mkuu, sitafanya tena hizo mambondio makundi yenyewe usiwe mbishi binti badili mwenendo acha ulevi hautokusaidia chochote maishani wala sio sifa njema kwa mwanamke na mtu yoyote anaejitambua
Hakika mkuu, ninaacha pombe rasmi kwanzia leoAcha pombe sasa, mungu ana sababu ya kukuacha hai...
Hayo ndiyo maombi yenu.niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi,
Hapa mkajibiwa maombi yenu.Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso.
Unashukuru Mungu kwa kutotimiza maomvi yenu?Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa
Hayo ndiyo maombi yenu.niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi,
Hapa mkajibiwa maombi yenu.Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso.
Unashukuru Mungu kwa kutotimiza maomvi yenu?Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa
Hapa naona umeshindwa kuelewa mkuuHayo ndiyo maombi yenu.
Hapa mkajibiwa maombi yenu.
Unashukuru Mungu kwa kutotimiza maomvi yenu?
Mungu hadhihakiwi, utavuna unachopanda
Mnachezea maisha vijana huku misema R.I.P,hakuna hiyo kwa Uzembe!Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.
Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.
Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.
Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.
Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.
Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌
Muwe na jumapili njema wakuu.
😢😢💔Mnachezea maisha vijana huku misema R.I.P,hakuna hiyo kwa Uzembe!
Hakika mkuuMungu anakupenda
Watu wangu,waangamia kwa kukosa maarifa, wewe unajua unaenda kwenye pombe kwa Nini usitumie Bajaj au taxi?!Kwa taarifa Yako hii... Yule Dereva kakosa Kazi....!
Baada ya muda ataanza kwenda Kwa Waganga kusema atakua kalogwa sio Bure.
Ndio hivyo Binti yangu,tuitumie Hekima na akili haya makundi yamesababisha vijana wengi kuwa vilema,Vigo na ukishachemka hawoni Tena!
Pombe ni majanga,mtu kaja mwenye Akili,akirudi nusu Mirembe!Umemalizia vizuri kuwa Pombe sio chai...
ACHA POMBE!
Hakika mkuu ninaacha pombe rasmiUmemalizia vizuri kuwa Pombe sio chai...
ACHA POMBE!
Mungu amekunusuru jana ukiwa mlevi usifikiri itakuwa hivyo kila siku