Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Kafanye check up kuna kujigonga nyingine mbaya unajiona uko poa unaanza kuona effect baada ya muda kupita.Kwasasa niko poa nilijigonga kidogo ila maumivu yaliisha usiku ule ule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanye check up kuna kujigonga nyingine mbaya unajiona uko poa unaanza kuona effect baada ya muda kupita.Kwasasa niko poa nilijigonga kidogo ila maumivu yaliisha usiku ule ule.
Me ujue nampenda mtu msema ukweli, kuna dada nliwah kuwa napiga nae stori na ni mzuri, nikamuuliza kimasihara we umewah kupasuliwa na watu wangapi? Akasema 20+ na kaniambia wadada wengi wa town ukiwauliza amewah kuwa na wangapi atakwambia wawili wewe wa tatu, wengi wao wanadanganya, wadada wa mjini wengi wametumika ila hawawez kusema ukweli....Hakika mkuu upo sahihi
Hamna ni kidogo tu hakuna effect niliyopataKafanye check up kuna kujigonga nyingine mbaya unajiona uko poa unaanza kuona effect baada ya muda kupita.
Sasa ndugu kwa kuwa mlikuwa mnasema mmechoka kuishi hamwoni mlikuwa mkimbeep Mungu.Ila kwa kuwa bado hamjatimiza kazi aliyotaka muifanye pamoja na kumkosea kwenu amewapa nafasi nyingine.Tafuteni kikao kingine cha pamoja mpeane darasa.Kuwa Mungu habeepiwi.Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.
Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.
Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.
Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.
Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.
Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌
Muwe na jumapili njema wakuu.
Niliiona hii ajaliJana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.
Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.
Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.
Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.
Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.
Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌
Muwe na jumapili njema wakuu.
Kwa taarifa Yako hii... Yule Dereva kakosa Kazi....!
Baada ya muda ataanza kwenda Kwa Waganga kusema atakua kalogwa sio
Shida tukisema ukweli mnatutuacha acha tu tuwadanganyeMe ujue nampenda mtu msema ukweli, kuna dada nliwah kuwa napiga nae stori na ni mzuri, nikamuuliza kimasihara we umewah kupasuliwa na watu wangapi? Akasema 20+ na kaniambia wadada wengi wa town ukiwauliza amewah kuwa na wangapi atakwambia wawili wewe wa tatu, wengi wao wanadanganya, wadada wa mjini wengi wametumika ila hawawez kusema ukweli....
Na Binti Sayuni03 hukumuona eneo la tukio mkuu?Niliiona hii ajali
Walikuwa wanasema wao na ni akili ya pombe nadhaniSasa ndugu kwa kuwa mlikuwa mnasema mmechoka kuishi hamwoni mlikuwa mkimbeep Mungu.Ila kwa kuwa bado hamjatimiza kazi aliyotaka muifanye pamoja na kumkosea kwenu amewapa nafasi nyingine.Tafuteni kikao kingine cha pamoja mpeane darasa.Kuwa Mungu habeepiwi.
Kuna umri ukishafika utakunywa jirani na nyumbanii na hutokatisha barabara kwenda kunywaa
Ila ukiacha kunywa pombe utapata muda mwafaka wa kujitafakarii
AhahahahahaShida tukisema ukweli mnatutuacha acha tu tuwadanganye
Akili zikirudi kwenye mihimili yake watafutane waongee wakiwa sawa.Walikuwa wanasema wao na ni akili ya pombe nadhani
Hakika mkuu, ila unakuta wakati huo umeshabadilika unataka kutulia ukisema ukweli ulivyokuwa hapo awali mtu anakuachaAhahahahaha
Hawa watajua wenyewe lakini mimi binafsi namshukuru Mungu na nitaacha hata hizo pombeAkili zikirudi kwenye mihimili yake watafutane waongee wakiwa sawa.
Mimi nilitoka pale wa kwanza tukasimama ng'ambo ya pili kule gari lilivyokuwa linavutwa kama ulionaNiliiona hii ajali
Mm binafsi napenda mtu mkweli,nimeshashuhudi ndoa za bar maid kama wawili wametulia kuliko hata walokole nkajifunza kuwa alikubali kurenew life na mume akaaccept reality...Hakika mkuu, ila unakuta wakati huo umeshabadilika unataka kutulia ukisema ukweli ulivyokuwa hapo awali mtu anakuacha
Nimeacha mbona ila nilikuwa nawapa tu kampani hawa watu walitoka mkoani kuj kuangalia mechiKuna umri ukishafika utakunywa jirani na nyumbanii na hutokatisha barabara kwenda kunywaa
Ila ukiacha kunywa pombe utapata muda mwafaka wa kujitafakarii
Wanaume mlio wengi hammkishajua background mnaona mtu hafai, ni wachache sana wanaelewa kuwa kuna kubadilikaMm binafsi napenda mtu mkweli,nimeshashuhudi ndoa za bar maid kama wawili wametulia kuliko hata walokole nkajifunza kuwa alikubali kurenew life na mume akaaccept reality...
Hii kauli ndio iliwaponza.wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe
Dereva akajisahau kabisa kuwa anaendesha gari ya ofisi na amebeba roho za watu😢😢🙌kweli pombe siyo chaiHii kauli ndio iliwaponza.