Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 2,096
- 5,211
Pole sana, dereva kibarua chake kipo mashakani kama ikigundulika alikuwa amelewa.Dereva akajisahau kabisa kuwa anaendesha gari ya ofisi😢😢🙌kweli pombe siyo chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, dereva kibarua chake kipo mashakani kama ikigundulika alikuwa amelewa.Dereva akajisahau kabisa kuwa anaendesha gari ya ofisi😢😢🙌kweli pombe siyo chai
Yaani unashukuru kwa kuikosa michango yetu! Sijakuelewa naona pombe bado zimo kichwani mwako.Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.
Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.
Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.
Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.
Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.
Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌
Muwe na jumapili njema wakuu.
- Peleka sadaka kwa wenye uhitaji, mfano Hospitalini (wapo wagonjwa hawana ndugu halizao ni ngumu, wamekata taama ya kuishi, hawana msaada wowote hawa haswa ndio wanasathili sadaka) au vituo vya kulea watoto yatima.Hii muhimu sana mkuu, jumapili lazima niende kanisani na sadaka ya shukrani
Nilitaka kusema apo juu mwanamke unakuaje mlevi ?Mwanamke unakuawaje mlevi hadi kinyaa yaani 🤣🤣🤣
Mkojo wa mwanamke mlevi ukinusa hadi hamu ya kuomba tamu unaisha😁😁
Hakika mkuu nitafanya hivi- Peleka sadaka kwa wenye uhitaji, mfano Hospitalini (wapo wagonjwa hawana ndugu halizao ni ngumu, wamekata taama ya kuishi, hawana msaada wowote hawa haswa ndio wanasathili sadaka) au vituo vya kulea watoto yatima.
Hakika mkuu namshukuru sana Mungupole mrembo! Mshukuru MUNGU sana, lah! sivyo jina lako lingeshabadilika sasa.
Ni kweli mkuu, hata mimi nashangaa hiloNilitaka kusema apo juu mwanamke unakuaje mlevi ?
Nadhani sijaumia maana sikujigonga kwenye kitu kizito, na wala sihisi maumivuUsisahau kwenda hospitali kwa ajili ya check up, just to be sure haujaumia ndani kwa ndani.
Nyie wote inabidi muende jela kwa kutaka kuua watu na kujiua.Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.
Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.
Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.
Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.
Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.
Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌
Muwe na jumapili njema wakuu.
Huo ni mtazamo wako mkuu, kiuhalisia haipo hivyo kabisaHuyu ndio yule Binti Kivuruge, bado hajaacha yale mambo yake, anazurura kwa lounges usiku kucha. Mwanamke mlevi hafai hata kidogo, she can't make a great wife, neither a good mother.
🙄🙄yamekuwa hayo tena mkuuNyie wote inabidi muende jela kwa kutaka kuua watu na kujiua.
Hili Jambo sio la kushukuru Mungu pekee,Blnali na wewe ujitafakari!
Mtu mwenye akili timamu unaendesha gari umelewa?
Huu si ujinga,kama nchi tubadilike,nyie hamtakiwi kuwa uraiani hadi muda huu!
Kwahiyo hapo ulitamani tungekufa eti?Yaani unashukuru kwa kuikosa michango yetu! Sijakuelewa naona pombe bado zimo kichwani mwako.
Gari ipo gereji inafanyiwa matengenezo leo, haraka iwezekanavyo maana kesho anaenda kaziniPole sana, dereva kibarua chake kipo mashakani kama ikigundulika alikuwa amelewa.