Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Huyu ameshafikia kilele, hakuna kurudi nyuma aendelee tuu.Pole Sana Mkuu ,Ila jaribu kutazama mwenendo wako hasa Kama wewe ni KE
Mwanamke anayekunywa pombe tena hadharani hua simuelewi ht kdg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ameshafikia kilele, hakuna kurudi nyuma aendelee tuu.Pole Sana Mkuu ,Ila jaribu kutazama mwenendo wako hasa Kama wewe ni KE
Acha tu mkuu, nimesikitika sana na kuumia pia, kweli pombe siyo nzuriUzembe, watu hata hawajali kuhusu maisha Yao. Ndo vijana wa Sasa hao.
Aiseeeeeee!!wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi,
Hii siyo tabia yangu mkuu, ni mara moja moja sanaHuyu ameshafikia kilele, hakuna kurudi nyuma aendelee tuu.
Mwanamke anayekunywa pombe tena hadharani hua simuelewi ht kdg
Kwanini MkuuHuyu ameshafikia kilele, hakuna kurudi nyuma aendelee tuu.
Mwanamke anayekunywa pombe tena hadharani hua simuelewi ht kdg
Asante sana mkuuAiseeeeeee!!
Pole sana Binti Sayuni03
Hakika mkuuKwanini Mkuu
Pombe inaweza kuwa tatizo ikiwa haujipimii kipimo chako sahihi
Jana ilikuwa weekend mkuuMnashinda mmelewa,kazi mnafanya saa ngapi?
Hapa japan hatuna cha weekend sisi.Jana ilikuwa weekend mkuu
Unaendeleaje kwa sasa mkuu?Asante sana mkuu
Kwasasa niko poa nilijigonga kidogo ila maumivu yaliisha usiku ule ule.Unaendeleaje kwa sasa mkuu?
Washampasua mabaharia kibao hana noma ila saivi ndio yupo kwenye edge ya kufanya massive changes ndio mana kajitafutia jamaake ambaye hajui background yake anataka wafanye maisha, atabadilika fully kuna msema wajamaica wanasemaga "one one coco full backet" wakimaanisha utafanikiwa tu japokuwa progress ni taratibuPole Sana Mkuu ,Ila jaribu kutazama mwenendo wako hasa Kama wewe ni KE
Mimi hawa watu ni wageni walikuja kuangalia mpira wa Simba na Yanga kwahiyo ilikuwa ni lazima kuwapa kampaniHapa japan hatuna cha weekend sisi.
Hakika mkuu upo sahihiWashampasua mabaharia kibao hana noma ila saivi ndio yupo kwenye edge ya kufanya massive changes ndio mana kajitafutia jamaake ambaye hajui background yake anataka wafanye maisha, atabadilika fully kuna msema wajamaica wanasemaga "one one coco full backet" wakimaanisha utafanikiwa tu japokuwa progress ni taratibu
Labla japan ya pale NachingweaHapa japan hatuna cha weekend sisi.
Ila sio hadharani.Kwanini Mkuu
Pombe inaweza kuwa tatizo ikiwa haujipimii kipimo chako sahihi
Hakika mkuu upo sahihiNitumie fursa hii kuwaasa wanaume wenzangu kuwatenga wanawake walevi
Ulikuwa umefunga mkanda?Kwasasa niko poa nilijigonga kidogo ila maumivu yaliisha usiku ule ule.