Sijui niseme nini lakini Mungu alikuwa upande wetu jana.

Sijui niseme nini lakini Mungu alikuwa upande wetu jana.

Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.

Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.

Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.

Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.

Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.

Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌

Muwe na jumapili njema wakuu.
Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote angekuwepo, isingewezekana kwa ajali yoyote kuwapo.

Ajali kuwezekana kuwapo ni ushahidi kuwa Mungu huyo hayupo.
 
Pole sana aisee, starehe hizi nakumbuka miaka ile nipo chuo tulienda kwenye harusi. Pale clouds maeneo yale kulikuwa na open space walikuwa wanafanyia harusi. Sijui kwa sasa bado lipo aul laah.
Rafiki yetu dada yake anaolewa na alikuwa boss kweli kweli na alichelewa kuolewa.
Sisi tukaunda couple zetu za sare sare mauwa haoooo harusini.
Sasa mwenzetu mmoja alikuwa na gari double cabin zile tukaamua woote tukae nyuma sasa kule nyuma ya gari uwiiii.
Tukawa tunapiga makelele sana yaani ile yaaa uwiiiiiiii kwa nguvu
Magomeni ile tunakunja twende chuo watu wanatushangaa kwa ile mizuka na pombe watu wakaanza kulia kweli. Kwenye mataa pale wanauliza nyie viiipiii watu wanajibu tumefiwa tunaenda Muhimbili aiseeee.
Sasa tumekua tunafamilia wakati si ukutq yamepita yale.
 
Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote angekuwepo, isingewezekana kwa ajali yoyote kuwapo.

Ajali kuwezekana kuwapo ni ushahidi kuwa Mungu huyo hayupo.
Mungu anaruhusu ajali kama hizi kutokea ili kutukumbusha tumrudie yeye tuache maovu
 
Mkuu Kira miaka mingi nakusoma Kama atheist Ila siku ukikutana na majanga utalitaja jina lake na ukuu wake.....
Kukutana na majanga nako pia ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kusingewezekana kuwa na janga lolote kwa yeyote.
 
Mungu anaruhusu ajali kama hizi kutokea ili kutukumbusha tumrudie yeye tuache maovu
Maovu kuwezekana kufanyika nako ni uthibitisho Mungu huyo hayupo.

Angekuwapo, maovu yasingewezekana kufanyika kwa sababu Mungu huyo angeumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani kufanyika.
 
Maovu kuwezekana kufanyika nako ni uthibitisho Mungu huyo hayupo.

Angekuwapo, maovu yasingewezekana kufanyika kwa sababu Mungu huyo angeumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani kufanyika.
Utaacha tuu,huku ni kibinadamu zaidi!
 
Hapa naona umeshindwa kuelewa mkuu
Nimeelewa vizuri sana, sema sijanena kwa namna unayoitegemea.

Mimi nilichotaka ujue na watu wajue. Mungu hataniwi, hana mizaha na hadhihakiwi. Hata ukifanya mzaha anakupa
 
Nitaacha nini?

Jibu hoja ya kidhahania, nioneshe unaweza kufanya hoja ya kimantiki iliyozidi ad hominem fallacy.

Jadili hoja, usinijadili mimi.
Uwepo wako tuu ni udhihirisho wa uwepo wa Mungu, maana kuna mawili kuchagua yupo au hayupo , wewe nawe umechagua fungu lako!
 
Uwepo wako tuu ni udhihirisho wa uwepo wa Mungu, maana kuna mawili kuchagua yupo au hayupo , wewe nawe umechagua fungu lako!
Uwepo wangu unathibitisha vipi kwamba Mungu yupo?

Thibitisha uwepo wangu unathibitisha Mungubyupo, usilazimishe hoja kwa kuisema tu.

Kusema kitu tu hakufanyi kitu kiwe kweli.
 
Pole sana aisee, starehe hizi nakumbuka miaka ile nipo chuo tulienda kwenye harusi. Pale clouds maeneo yale kulikuwa na open space walikuwa wanafanyia harusi. Sijui kwa sasa bado lipo aul laah.
Rafiki yetu dada yake anaolewa na alikuwa boss kweli kweli na alichelewa kuolewa.
Sisi tukaunda couple zetu za sare sare mauwa haoooo harusini.
Sasa mwenzetu mmoja alikuwa na gari double cabin zile tukaamua woote tukae nyuma sasa kule nyuma ya gari uwiiii.
Tukawa tunapiga makelele sana yaani ile yaaa uwiiiiiiii kwa nguvu
Magomeni ile tunakunja twende chuo watu wanatushangaa kwa ile mizuka na pombe watu wakaanza kulia kweli. Kwenye mataa pale wanauliza nyie viiipiii watu wanajibu tumefiwa tunaenda Muhimbili aiseeee.
Sasa tumekua tunafamilia wakati si ukutq yamepita yale.
Nyie mlikuwa hatari aisee😁😁
 
Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.

Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.

Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.

Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.

Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.

Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌

Muwe na jumapili njema wakuu.
Pombe haina shida.
Shida iko kwa waliokuwa wanapaisha gari
Hongera kwa kutoka salama.
 
Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.

Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.

Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.

Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.

Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.

Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌

Muwe na jumapili njema wakuu.
Mngekufa tu wote.
 
Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa.

Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo kinyerezi nadhani sasa tulikuwa na magari mawili gari moja la mtu binafsi jingine ni la mtu mwingine lakini la ofisini kwao, sasa mimi nilikaa nyuma kwa hapa upande wa dereva huku kwa dereva kulikuwa na kijana mmoja na dereva, lile gari jingine alipanda mama na mumewe, hawa ni wazazi wa kijana mmoja tuliyekuja nae.

Huyu dereva wetu, ambaye mwenye hii gari ya ofisini kwao alikuwa anaendesha kwa spidi sana, wale niliokaa nao nyuma walikuwa wanamwambia aendelee kupaisha wamechoka kuishi hata wakifa basi, hii ni akili ya pombe ilikuwa. Mimi hapo muda huu moyo wangu haukuwa na amani kabisa.

Yaani gari ilikuwa inatembea kama inapaa😢😢 kufikia pale round about ya mbezi kwenye zile njia za kwenda kinyerezi na kwingineko mbele yetu likatokea fuso limeovateki bajaji kwahiyo likawa linakuja upande wetu na liko spidi ya hatari, aisee hapa nilikiona kifo hiki hapa mbele yetu.

Katika kulikwepa gari dereva akapeleka gari mtaroni, hapa pongezi kwake dereva bila hivyo tulikuwa tunaenda kugonga fuso uso kwa uso. Ilikuwa kama movie hii, kwanza pombe zote ziliisha kichwani, sijaamini mpaka dakika hii kama nimeweza kutoka salama pale, aliyeumia ni mmoja shingoni tu, na gari ndiyo imepata hitilafu. Hili ni jambo la kumshukuru Mungu sana sasa hivi sijui ningekuwa nimekufa au nimeumia. Sina la zaidi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu.

Nimepata funzo kubwa kuhusu hii ajali hakika nitaendelea kumtukuza Mungu. Pombe siyo nzuri kabisa😢🙌

Muwe na jumapili njema wakuu.
Mambo ya kupenda lift. Kwanini usipande hata usafiri wa umma
 
Back
Top Bottom