dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Salute,
Kuna kitu ukijaribu kukifikiria katika hali ya kawaida tu ni kigumu sana.
Unajaribu kujiuliza hivi miili iliyoungana itaishije?
Watu wameungana pamoja roho tofauti, mungu ana miujiza mikubwa sana.
Hivi katika wale walioungana mmoja akifa mwingine ataishije?
Au mmoja akifa watawazika kwa pamoja?
Mtihani mkubwa sana jamani huu.
Kuna kitu ukijaribu kukifikiria katika hali ya kawaida tu ni kigumu sana.
Unajaribu kujiuliza hivi miili iliyoungana itaishije?
Watu wameungana pamoja roho tofauti, mungu ana miujiza mikubwa sana.
Hivi katika wale walioungana mmoja akifa mwingine ataishije?
Au mmoja akifa watawazika kwa pamoja?
Mtihani mkubwa sana jamani huu.