Sikiliza kiingereza cha Harmonize tuzo za Afrima

Sikiliza kiingereza cha Harmonize tuzo za Afrima

Kiingereza sio lugha yetu ya kwanza,ya pili wala ya tatu na ni ni lugha ya taifa jingine,isiwe chanzo cha kuchekana tunapoikosea,tunapoiongea tuwekeze zaidi akili yetu kwenye maana kuliko kuangalia makosa.
 
Dah inabidi wasanii na wenyewe wajitaidi bhana kuwa ki international aise ila utakuta muda mwingi anapoteza sijui kaenda kwenye pati gani badala ungekaa geto unajifunza haya mambo hayaji hivi hivi bila jitihada yako mwenyewe halafu unataka kuwa wa kimataifa!! Labda kama unataka kuwa wa kimataifa kama wale ndala wa mchangani.
Unamaanisha mikia fc?
 
Shida aliye naye ni mmachinga lugha ni shidah, domo alikuwa mjanja wote aliolamba walikuwa mboga saba
 
Hivi ni ajabu sana mtu kutojua kiingereza?
Mim ni mwl wa Kiingereza,na hakika huwa nasisitiza watoto wajitahidi kuongea ili kufaulu mitihani,na hata kuja kuiingiliana na jamii zingine wasiojua kiswahili,lakin bado haimanishi kutoongea kiingereza ni ugonjwa,au udhaifu,au kilema, hapana!.

Na lugha yyte ukiwa na lengo na sabb za kujifunza inawezkana kbsa....hivyo Kwa huyu dogo hatua moja ni kuwa anaelewa kiingereza lkn hawez kuongea hio ni moja ya skill..ni hatua kubwa..
Kwa ili useme unaimudu lugha lazima uwe na ujuzu huu
Kuongea
Kuskiliza
Kuandika na
Kusoma
Huwez jifunza vyote hv at once..it must take you some nights..j
Kiswahili tu bado kinatusumbua wengi..


But for the sake of international socialization better one acquire a set/variety of international languages, English being among
 
Dogo anaelewa anachoulizwa japo ndo hivyo si kujibu kingeresa moja kwa moja.. atazoea.. but kikubwa amejibu swali kulingana na alivyoulizwa.. nilisikilizaga clip ya SHISHI aseee... nilicheka sanaana
 
Lugha ilikuja kwa ndege hiyo msimcheke
 
Back
Top Bottom