Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanahitaji ndoa hao ikiwa nafasi bado IPO waweza ongeza mke wa piliSamahani wakuu....
Hao ndio akina nani huko daslam...🤔 maana kilakukicha umaarufu unawapata watu huko...🙄
Mkamchape Martha🤣🤣Kwa hiyo tufanyeje ndugu mleta mada.
Hata mimi sijui kinachoendelea ila huyo Bite hata anavyoongea ni tatizo kubwa.Japo sijui tatizo lao ni kitu gani ila huyo bite ana tatizo la akili wakimwahi mapema atakaa poa.
Ukute hapo wakati wanajibizana hao ndugu,Huyo Joan yupo Pembeni mwa Martha anamkunakuna mgongo.😂Namsubiri Joan aseme neno
Kabisa shindikanaa , hapo hata hatuhitaji hata d mbili kujua mwehu ni yupi.Hata mimi sijui kinachoendekea ila huyo Bite hata anavyoongea ni tatizo kubwa.
🙌🙌😂😂😂Mb 44 kusikiliza voicenote, hali ngumu jamani tuhurumieni.
Hizi ndo mada wabongo upenda wakitoka Hapo ni kuilaumu ccm juu ya matatizo yao
Hapo huwezi pata faida yoyote😅😅 ukienda kulima utavunaSiku hizi methali imabadilika.
Ndugu waligombana, chukua benchi ukae uwatazame maana hakuna namna.
View attachment 3252758
Ya wapi 😀Huyo anaeongea kama chiriku anaonekana ana stress hana utulivu wa akili kiufupi kama mimi ndio hakimu angekula nyundo mapema sana
Hili igizo bado lipo linaendelea? MaigizoHapa kwangu najua mwenye shida martha kamrekodi mwenzie af yeye anaongea pole pole kujifanya hana hatia uku mwenzie akibwabwaja kwa hasira hakiwa hajui kinacho endelea
Alikuwa anajua anacho kifanya ndio maana kayafanya haya
View attachment 3252733
Hahaha mm kiuhalisia sipendag ndg kugombana kufikia hatua za kuonekana km uadui aseehUkute hapo wakati wanajibizana hao ndugu,Huyo Joan yupo Pembeni mwa Martha anamkunakuna mgongo.😂
Tofautisha ulokole na uimba kwaya.Halafu wanasema yesu anaweza na vimini vyao
Njoo uone😁Ya wapi 😀
Limeanza upyaHili igizo bado lipo linaendelea? Maigizo
Wanyaki ni watu wa wapi mkuu?Nyie wanyaki kwa kupenda ugomvi mko vizuri.
Mambo yenu yamalizeni wenyewe kwenye familia.
Hata sisi tuna ugomvi kwenye familia zetu hatuleti hadharani.
Unamrekodi mwenzio na kupakoa mitandaoni iweje?