Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
nipoUpo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipoUpo ?
Nafurahnipo
Beatrice Ni mzima, kama umefatilia sakata lao huyo dada mkubwa ndio shida. Kwanza cha kujiuliza ni nani aliyerekodi na kuisambaza, unawezakuta ni dada mtu au huyo Joan lengo ni kujisafisha, ndio maana dada mtu kwa kujua kuwa anarekodi ndio maana akecheza smart.Beatrice ni mgonjwa wa akili asaidiwe.
Hadi uambiwe na mtu? Si ninaobserve tu.Johan aliwahi kutamba kanunuliwa kiwanja na kafunguliwa boutique na Martha.In short Martha ndo anamuweka Joan mjini. Kumbuka Joan alikuja kama housegirl.Leo kawa mtoto wa Martha.Jina lako la wine ila umbea sasa!, umeyajuaje yote haya...?🤣
Martha kinajifanyisha kinaongea sauti ya upolee! Kumbe kinajifanya tuHapa kwangu najua mwenye shida martha kamrekodi mwenzie af yeye anaongea pole pole kujifanya hana hatia uku mwenzie akibwabwaja kwa hasira hakiwa hajui kinacho endelea
Alikuwa anajua anacho kifanya ndio maana kayafanya haya
View attachment 3252733