Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Wanyakyusa Mbeya moja hiyo.Wanyaki ni watu wa wapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyakyusa Mbeya moja hiyo.Wanyaki ni watu wa wapi mkuu?
Kumbe ndio wanaitwa wanyaki , hahaha ndio nimejua leo😁😁😁Wanyakyusa Mbeya moja hiyo.
Hawa watakuwa wametumwa na CCMHapa kwangu najua mwenye shida martha kamrekodi mwenzie af yeye anaongea pole pole kujifanya hana hatia uku mwenzie akibwabwaja kwa hasira hakiwa hajui kinacho endelea
Alikuwa anajua anacho kifanya ndio maana kayafanya haya
View attachment 3252733
Wanakuwa kama Makonda na Gambo!Hawa watakuwa wametumwa na CCM
Mzee cocktail weekend inakaribia umeanza mapema nini?😄Mh! mbona audio hakuna video tuone huyo anaelalama kidaka tonge chake..?
Mimi sina cha weekend ni kila siku nadusua!..😅Mzee cocktail weekend inakaribia umeanza mapema nini?😄
Dah mimi nipo paid time off , najikaza nisizimue naona napata wenge la hatari.Mimi sina cha weekend ni kila siku nadusua!..😅
Ili kuwasahaulisha watu kuwa mama Samia kabaka katiba ya CCM na kuwateka wajumbe wa mkutano mkuu Kisha kulazimisha wajipitishe kugombea urais bila utaratibuWanakuwa kama Makonda na Gambo!
Jikaze hayo mambo yapo ukiyaendekeza sana ni hatari!, sasa wewe ungekuwa unakutana navyo kila siku ingekuwaje sasa...?😅Dah mimi nipo paid time off , najikaza nisizimue naona napata wenge la hatari.
Kaka pombe ninazo ndani ila nina miezi mitatu sijagusa ila leo naona uvumilivu utanishinda , ila ngoja nikaze😄Jikaze hayo mambo yapo ukiyaendekeza sana ni hatari!, sasa wewe ungekuwa unakutana navyo kila siku ingekuwaje sasa...?😅
Miezi mitatu sasa si uache tu..? spidi utakayorudinayo hapo tutakuokota barabarani!Kaka pombe ninazo ndani ila nina miezi mitatu sijagusa ila leo naona uvumilivu utanishinda , ila ngoja nikaze😄
Kwa hiyo clip huyo bite awahi mirembe haraka na nina hisi kabisa hana pesa, kumzidi huyo mwingine , unajua pesa na kelele ni kama paka na panya?Martha ni hatari mno.Kanajua kanarecord so kanaongea kaonekane kana Hekima.Wallah mimi ningekuwa Bite ningemblock Martha kila mahali na nikaishi maisha yangu .Huyo Bite ana sauti nzuri mno na ana kipaji cha kuimba.
Uzuri mmoja huwa nakunywa ndani tu 😁😁 labda siku moja nifie usingizini 🤣🤣Miezi mitatu sasa si uache tu..? spidi utakayorudinayo hapo tutakuokota barabarani!
Yap anajua Joan ndo anakula pesa za Martha ambazo Bite alitakiwa ale.Bite ajiongeze atafute zake na kamwe hatomfikiria tena Martha.Kwa hiyo clip huyo bite awahi mirembe haraka na nina hisi kabisa hana pesa, kumzidi huyo mwingine , unajua pesa na kelele ni kama paka na panya?
Bora wewe sie wengine tunazurura nakupiga makelele ndo raha yetu!, ninywe halafu nikae ndani sasa nitawakera vipi nini maana yakuwa vibe...🤣Uzuri mmoja huwa nakunywa ndani tu 😁😁 labda siku moja nifie usingizini 🤣🤣
Jina lako la wine ila umbea sasa!, umeyajuaje yote haya...?🤣Yap anajua Joan ndo anakula pesa za Martha ambazo Bite alitakiwa ale.Bite ajiongeze atafute zake na kamwe hatomfikiria tena Martha.